Ruby Morogoro
Senior Member
- Apr 3, 2017
- 161
- 83
- Thread starter
- #101
Asantehaya mawe yapo Haneti, fika kijijini hapo wenyeji watakupeleka Mlima wa Mashariki utakuta wauzaji kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize huyu. Naona anatafuta kitongaNaona unataka kuunganishwa kwenye makinikia sasa...cant be simple like that..do you have the permits that allow you to own the stones??
Wandugu taratibu zipo, ni kuwa na license tu ambayo ni laki mbili na nusu kwa sisi wazawa, Lipa TRA kwa kila mauzo basi. Tuchangamkie fursa, kazi kubwa ni kupata order toka nje tu! Karibuni.
Rubnut na hiyo chocolate fellispa mimi ninayo. Ofa yako vipi?Natafuta mawe haya toka Kondoa, Haneti-Yebo. Mwenye nayo tafadhali ani PM!
View attachment 552144
View attachment 552161
View attachment 552162
View attachment 552163
View attachment 552164
View attachment 552147
Yote hapo juu natafuta,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mashimo yanatoa. Hapa sina picha next week nitakuwa site nilikuwa nimetoka.
Ni mkoa gani?Nina mashimo yanatoa. Hapa sina picha next week nitakuwa site nilikuwa nimetoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah haya hayauziki soko lake gumu sana,maana mpaka kuwe na ujenzi wa barabara,huchanganywa na lami kisha kimwagwa barabarani.Ninayo haya, yanauzikaje?