Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

Kaka umeshaliamsha dude kumbe hayo ya mwisho yanauzika?Kweli watanzania hatustahili kuwa masikini,na hivi ni weekend ngoja kesho niende shamba
 
Kaka umeshaliamsha dude kumbe hayo ya mwisho yanauzika?Kweli watanzania hatustahili kuwa masikini,na hivi ni weekend ngoja kesho niende shamba
Naona unataka kuunganishwa kwenye makinikia sasa...cant be simple like that..do you have the permits that allow you to own the stones??
 
Naona unataka kuunganishwa kwenye makinikia sasa...cant be simple like that..do you have the permits that allow you to own the stones??
Kumbe wewe unataka nife masikini hata kama hayo mawe yako shambani kwangu?Kaka kumbe una roho mbaya sana nilikua sijui.Yote tisa kumi kama kweli hayo mawe ya mwisho kabisa kwenye picha yanauzika haki ya Mungu trip ya kwanza ntayachimba bila kibali then ndio ntafuata taratibu zinazotakiwa coz ntakua tayari niko vizuri.
 
vp meusi mchongoko nayo unataka?
Namaanisha yale unakuta yamejichomeka kwenye mwamba with sharp end edges ila hayana mng'ao kiviile!

Kama unayataka niambie niende chimbo make nimeyafuma somewhere kwa wingi.
 
Mbona Mimi Kondoa sijawahi yaona. Labda yanapatikana sehemu nyingine tofauti na kwetu

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Sio kondoa dada haneti ni chamwino na ni milima ya yobo sio yebo, vipi kondoa upo mahali gani maana mi nipo Just hapa natupia vyombo
 
Mbona Mimi Kondoa sijawahi yaona. Labda yanapatikana sehemu nyingine tofauti na kwetu

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Pole sana ni kwenu lakini ina onekana hakuwa interested ndio maana haukuwa una fahamu bt haya madini yapo sana kuanzia wilaya ya chemba maeneo wanayo uza vindege kwa wingi na kuna maeneo ya ndani ndani karibia na hifadhi ya wanyama pori huko...

ukitaka kufahamu zaidi uwepo wa madini hayo tajwa hapo fika bicha uliza wakazi wa hapo ndio wata kutajia maeneo mengi mno yalipo au kupatikana madini hayo...

Haneti pia kuna patikana Mica au Ulanga na Dada yake/Mdogo wake yule prof. anna wa bukoba huko ana fanya hii biashara huko ya kupeleka USA and EU... na anapiga pesa mno kwa Ku export mica matani kwa matani

na ni mica iliyo shikana...

pia kuna maeneo ya dodoma yana copper pia red diamond... Quartz Uranium nk... nikipata mtu wa kufanya nae biashara ntaingia huko maana hile biashara ina pesa sana una weza kuitwa freemason ndani ya siku moja kama utakuwa na soko la uwakika na supply ya kutosha....
 
Pole sana ni kwenu lakini ina onekana hakuwa interested ndio maana haukuwa una fahamu bt haya madini yapo sana kuanzia wilaya ya chemba maeneo wanayo uza vindege kwa wingi na kuna maeneo ya ndani ndani karibia na hifadhi ya wanyama pori huko...

ukitaka kufahamu zaidi uwepo wa madini hayo tajwa hapo fika bicha uliza wakazi wa hapo ndio wata kutajia maeneo mengi mno yalipo au kupatikana madini hayo...

Haneti pia kuna patikana Mica au Ulanga na Dada yake/Mdogo wake yule prof. anna wa bukoba huko ana fanya hii biashara huko ya kupeleka USA and EU... na anapiga pesa mno kwa Ku export mica matani kwa matani

na ni mica iliyo shikana...

pia kuna maeneo ya dodoma yana copper pia red diamond... Quartz Uranium nk... nikipata mtu wa kufanya nae biashara ntaingia huko maana hile biashara ina pesa sana una weza kuitwa freemason ndani ya siku moja kama utakuwa na soko la uwakika na supply ya kutosha....
unafahamu sana mkuu. nishasikia habari pale za huyo mdogo wake na Tiba
 
Kumbe wewe unataka nife masikini hata kama hayo mawe yako shambani kwangu?Kaka kumbe una roho mbaya sana nilikua sijui.Yote tisa kumi kama kweli hayo mawe ya mwisho kabisa kwenye picha yanauzika haki ya Mungu trip ya kwanza ntayachimba bila kibali then ndio ntafuata taratibu zinazotakiwa coz ntakua tayari niko vizuri.

Hahahahaah.... usiwe na wasi hata ukiyakuta shambani kwako wewe chukua sample hata wakikukuta una loli za dhahabu haina shida kuna sheria ina ruhusu kusema upo kwenye utafiti au uchunguzi maana una weza kuchukua kibali kumbe madini yapo kilo mbili ukawa umejisumbua au sio quality au sio madini kabisa
 
Back
Top Bottom