Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,814
Hili la kwako ni KINIKIA!kama hilo??
Hili la kwako ni KINIKIA!kama hilo??
Kwenye list ya picha yako hapo naona Kna zoisite za longido,Kna felsper Kna saphire za kilosa....saphire za kilosa kg1 NI 25 zinauzwa
Mkuu naona upo vizuri sana, Bei za chrysoprase ikoje?Unayo felsper grey color kama hii
Ova
Feldspar bei yake? Unayo black tinted pia?Unayo felsper grey color kama hii
Ova
Mkuu mbona haya ni madini? Una leseni?Natafuta mawe haya toka Kondoa, Haneti-Yebo. Mwenye nayo tafadhali ani PM!
View attachment 552144
View attachment 552161
View attachment 552162
View attachment 552163
View attachment 552164
View attachment 552147
Yote hapo juu natafuta,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimya mkuu? Naomba ni PM basiKwenye list ya picha yako hapo naona Kna zoisite za longido,Kna felsper Kna saphire za kilosa....saphire za kilosa kg1 NI 25 zinauzwa
Nme Ku pm namba yangu tuwasiliane tujaribu kuyajenga
Ova
Mkuu umenikumbusha. Dongo pale kuna wachimbaji wadogo dhahabu pia inapatkana. Eneo lile lote lina madini aina mbalimbali ...kuanzia Itiso, Segala, vuka milima ile mpaka Dongo teremka mpaka Zajilwa. Maenek ya Haneti na Kondoa yote inamadini sana. Laini pia Hombolo kuna kilima kina madini sana hasa hayo ya bluu...ni ya kukusanya tu na chepe hata bila kuchimba sanamkuu nilikuwa ktk haka kautafiti baada ya kumaliza chuo nikawa sina cha kufanya mtaani... ndipo nkamtafuta rafiki yangu mtaalamu wa geology frm UDSM tukaanza kuzurura dodoma mpka maeneo ya dongo mzee... tukapata story ya huyu dada, na alitaka wazurumu watu wengine maeneo ya madini ili achimbe yeye... bahati mbaya wale walikuwa tayari wana leseni so ikawa ngumu kwa kuwa haiwezekani kutolewa leseni mbili ktk eneo moja....
ila hii sekta kwa wasio ijua unaweza sema watu wanacheza tu ila ina pesa sana... ni kutafuta masoko kwanza pili ndipo utafute mzigo ulipo... sasa sisi tulijikuta tumepata maeneo lakini soko hatuna hapo ndipo tulipo kwama mpaka leo
pia ktk hii sekta kuzurumiana ni jambo la kawaida sana, una takiwa kuwa na roho kidikteta ndipo utakula mema ya nchi
Picha unayo ya mzigo?Mi ninayo ya mwisho unataka tani ngapi na bei gani Kwa tani
Kwenye list ya picha yako hapo naona Kna zoisite za longido,Kna felsper Kna saphire za kilosa....saphire za kilosa kg1 NI 25 zinauzwa
Nme Ku pm namba yangu tuwasiliane tujaribu kuyajenga
Ova
Pia kuna mlima hnamadini yote hayo ...huo mlima unaitwa MLIMA WA KINYAMI ni mlima uliokaliwa na watu wa jamii ya Mang'ati na Wairaq (Wambulu). Huu mlima upo Hombolo na ranges zake zime extend kwenye vijiji vya Mkondahi, Mgonangh'olongo, Msisi na Maseya. Ni mlima ambao unautajiri mkubwa mnohaya mawe yapo Haneti, fika kijijini hapo wenyeji watakupeleka Mlima wa Mashariki utakuta wauzaji kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niende shamba ntakutumia maana mi niko Dar halafu sampo mpaka niende kuyachota tena kwakuyachimba chini.Je bei yake kwa Kg ni bei gani?coz kama bei ni nzuri mbona mpaka kesho naweza Kukutumia picha
Ruby corundumn za matale hzi ton 1,mln 3
Kama tulivyongea chief
Felsper black yenye tinted kg1 7000 mpk 8000 Kuna wakati inavuka zaidi ya 10000/
Jiwe gani hilo na yanapatikana kiasi gani?
Felsper black yenye tinted kg1 7000 mpk 8000 Kuna wakati inavuka zaidi ya 10000/
Ila felsper nyeusi kabisa ile kama tajiri la gari kg 1 NI 10000/ na zaidi
Ngoja nkuwekee felsper za Same zinazotoka ktk mbuga ya mkomazi hzi nlikuwa nauzaga mpaka 15000/ Sema kupata hko NI Issue maana pale NI game reserve hawaruhusu kuchimbaa
Ova