Natafuta mashirika yanayohitaji volunteers ili nijitoe katika kusaidia jamii yangu

4ncymelody

Member
Apr 5, 2017
17
3
Mimi ni kijana wa miaka 20 kiumri...nipo kidato cha sita na ninategemea kuhitimu mwezi wa tano..nikiwa ninasubiria matokeo yangu ningependa kujihusisha na huduma za kujitolea kwa ajili ya jamii..kama kuna anayefahamu mashirika yanayohusika na volunteers naomba aniunganishe..
 
Kama utakosa kabisa shirika la kujitolea, Naomba tuwasiliane kuanzia mwezi wa 7 tutakuwa na project itakayojumuisha international volunteers
Mawasiliano yako mdau napataje...niachie contacts kama hautojali.
 
Mkuu watafute RALEIGH INTERNATIONAL, utajitolea kwa ajili ya kuisaidia jamii. Watakulipia nauli, chakula kitakuwa juu yao kwa kipindi chote cha kujitolea. Ni miezi miwili hivi.

Utakuwa na wageni kutoka nchi mbali mbali haswa Uingereza. Utapata exposure kubwa sana. Baada ya kipindi cha kujitolea, utapewa cheti kilichosahiniwa na Waziri Mkuu wa Uingereza.

Center yao kubwa ipo Morogoro.
 
Mkuu watafute RALEIGH INTERNATIONAL, utajitolea kwa ajili ya kuisaidia jamii. Watakulipia nauli, chakula kitakuwa juu yao kwa kipindi chote cha kujitolea. Ni miezi miwili hivi.

Utakuwa na wageni kutoka nchi mbali mbali haswa Uingereza. Utapata exposure kubwa sana. Baada ya kipindi cha kujitolea, utapewa cheti kilichosahiniwa na Waziri Mkuu wa Uingereza.

Center yao kubwa ipo Morogoro.
Gharama za matibabu ztakuwa juu yao kipindi chote cha kujitolea. Program ya kwanza itaisha mwez wa 6, program ya pili mwsho itaanza mwez wa sita.
 
Mkuu watafute RALEIGH INTERNATIONAL, utajitolea kwa ajili ya kuisaidia jamii. Watakulipia nauli, chakula kitakuwa juu yao kwa kipindi chote cha kujitolea. Ni miezi miwili hivi.

Utakuwa na wageni kutoka nchi mbali mbali haswa Uingereza. Utapata exposure kubwa sana. Baada ya kipindi cha kujitolea, utapewa cheti kilichosahiniwa na Waziri Mkuu wa Uingereza.

Center yao kubwa ipo Morogoro.
Umeeleza vyema mkuu, program ya pili itaanza nazan mwez wa 6 au saba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom