Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
- Thread starter
- #241
Naweza piga hela kwa nyota yako
Ova
Mimi ndo nitapiga zaidi kwa nyota yako aisee...
Naweza piga hela kwa nyota yako
Ova
Ok.....haya boss wnguMimi ndo nitapiga zaidi kwa nyota yako aisee...
Hahahaha naona wenye migodi mnatongozwa sasa...
Heading:Natafuta mwanaume mwenye mgodi.
Wenye migodi fursa hiyo unashika mkono tu..
Napenda utani
Kwanini usitongoze wakati hao ndo wenye konekisheni..Laiti ungejua...!Yaan nitongoze mwanaume...!
Laiti ungejua!
..Kwanza ngoja nikuache tu.....Muwe mnatembea jaman..tembeeni. njooni huku mogodini .huenda ukafunguka akili zako ndg km kisoda!..wakati ww hapo ukiendelea kufikiri natafta mtu anihonge mwenzako ndo napaa...!mxiew ..!Kwanini usitongoze wakati hao ndo wenye konekisheni..
Hao ndo akikuhonga Ni milioni 10+ huko,tia juhudi mtoto mzuri.
Maisha haya yanahitaji mbinu mi naelewa we pambana tu..
Hahahaha mbona unatoa povu kidogo Sasa..Kwanza ngoja nikuache tu.....Muwe mnatembea jaman..tembeeni. njooni huku mogodini .huenda ukafunguka akili zako ndg km kisoda!..wakati ww hapo ukiendelea kufikiri natafta mtu anihonge mwenzako ndo napaa...!mxiew ..!
we jamaa usijaze servers za JF bila sababu..... kama kwako ni ngumu kwetu rahisi tu... fuata mambo yako acha umaandazi..Hahahaha mbona unatoa povu kidogo Sasa
Nitolee povu jingi basi,kwani sikuuzi?????
we jamaa usijaze servers za JF bila sababu..... kama kwako ni ngumu kwetu rahisi tu... fuata mambo yako acha umaandazi..
Hahaha mzee huna mgodi mwache dada angu,unajizogeza wkt mgodi huna.. utampa Niniwe jamaa usijaze servers za JF bila sababu..... kama kwako ni ngumu kwetu rahisi tu... fuata mambo yako acha umaandazi..
Kuna aina nyingi sana za madini.Mimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
haya mkuu...Hahaha mzee huna mgodi mwache dada angu,unajizogeza wkt mgodi huna.. utampa Nini
HahahaaaTunao fuga kitimoto hatutakiwi hapa...
Lakini hata hao LGBT hawa wana jinsia, hata wale wanaobadili wanachofanta ni ku switch side tu, kwa maoni yangu ujumbe wake ulipaswa uishie kwenye " wafanyabiashara "kuna LGBT au queer people. Hawa huwa hawajitambulishi kwa jinsia fulani 😀😀😀😀. Dada lazima awe specific asije akachanganya mambo
Queer people huwa hawaji identify as wanawake au wanaume.Lakini hata hao LGBT hawa wana jinsia, hata wale wanaobadili wanachofanta ni ku switch side tu, kwa maoni yangu ujumbe wake ulipaswa uishie kwenye " wafanyabiashara "
Ndio maana toka mwanzo nilikwambia kwa deal za madini mtafte mrangiMimi ndo nitapiga zaidi kwa nyota yako aisee...