uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,671
- 26,423
Habari zenu wakubwa, mimi ni mwenyeji wa Arusha, ila nina trip nyingi sana za Dar Es Salaam, nimefikiria si mbaya kama nitakuwa na kaenea na kujenga kajinyumba kangu kadogo kakufikia Dar Es Salaam, sasa basi niko na msako wa Eneo Dar kati ya maeneo yafuatayo: Tabata - Kimanga au Kinyerezi, Mbezi ya Tegeta, African yote, Tegeta Yote, Bunju .....
Nina ka budget kangu kadogo tu, between 4m - 5m. Ahsanteni.
Nina ka budget kangu kadogo tu, between 4m - 5m. Ahsanteni.