Kulipa lazima.Usijali...Naogopa hela za bure hautanidai? haahhaha
Takwimu hizo hizo zinaonyesha watu wengi hawana ajira. gvt haijaajiri kwa miaka 2. private uchumi umeyumba na the competition is very high. unategemea nini?Takwimu zinaonyesha watu wameajiriwa wengi sana, wewe ulikuwa waapi?
Mungu atakulipa..utamuoa inna soonKulipa lazima.
Him inahitaji analysis bila siasa!Siku nikikuona and kwa ana ndotoni tutalijadili hill kwa mapana. Kumbuka tutaonanaTakwimu hizo hizo zinaonyesha watu wengi hawana ajira. gvt haijaajiri kwa miaka 2. private uchumi umeyumba na the competition is very high. unategemea nini?
Nikukpa elfu 10, ukipata lazima unirudishie.Mungu atakulipa..utamuoa inna soon
kwa nini ndotoni mkuu?Him inahitaji analysis bila siasa!Siku nikikuona and kwa ana ndotoni tutalijadili hill kwa mapana. Kumbuka tutaonana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hi imekaa kiuwindajiAkimaliza kukufulia nguo zako mchana nitakuwa nakuja kumchukua aje kwangu kupiga deki usiku
Nikukpa elfu 10, ukipata lazima unirudishie.
Ndio kula kwa jasho huko
Kama unanipa then unanionyesha jinsi ya kupata itakuwa bomba!!! yaani ile unanionjesha samaki kibua then unsnionyesha anakovuliwa Na jinsi ya kumvua itakuwa njema!!Nikukpa elfu 10, ukipata lazima unirudishie.
Ndio kula kwa jasho huko
I miss you mume wa Inna[emoji85] [emoji85]Ha ha ha. Hapana bwana.
Hapo nilitania tu.
Ila utume namba yako pm nitakuwa nakucheki mara moja moja tigo pesa.
Au sio?
Mimi ni mwaminifu na sina chembe yoyote ya ubaya.
Inna ni shahidi
ukilala utaelewa!!kwa nini ndotoni mkuu?
lazima nilale mapema leo.ukilala utaelewa!!
mi nakutania mwayalazima nilale mapema leo.
Na Nani?Dah....Si bure... Kuna mtu anatakiwa macumbushow[emoji41] [emoji87]
sawa mkuumi nakutania mwaya
Sikuzuii kuamini unachoamini!Pia usilazimishe watu waamini unachoamini. Aje mtu ambaye nimewasilina naye akaona dalili hizo unazosema.Kwa haraka haraka nimegundua kuwa huyu mtu ni m-babaishaji na lengo lake kuweka hii thread ni kuwananga wasomi na waalimu waliomtaani ambao bado hakijaeleweka, so ameamua kwa makusudi kufurahisha kijiwe, hvyo natangaza wazi kuwa mpuuzeni.
Jua nimewwka kwa ufupi tuu ningewwka yote ndyo usingeamini kabisa!!Kwa haraka haraka nimegundua kuwa huyu mtu ni m-babaishaji na lengo lake kuweka hii thread ni kuwananga wasomi na waalimu waliomtaani ambao bado hakijaeleweka, so ameamua kwa makusudi kufurahisha kijiwe, hvyo natangaza wazi kuwa mpuuzeni.
Na Nani?
Dah.... Ndiyo maana nikasema hii ndiyo mbinu mpya ya hawa vijana....[emoji87] [emoji41] [emoji13]Kwa haraka haraka nimegundua kuwa huyu mtu ni m-babaishaji na lengo lake kuweka hii thread ni kuwananga wasomi na waalimu waliomtaani ambao bado hakijaeleweka, so ameamua kwa makusudi kufurahisha kijiwe, hvyo natangaza wazi kuwa mpuuzeni.