Dada wewe unajitambua. Kuna kijana mmoja alipohitimu Shahada yake aliamua kuendesha boda boda. Watu walikuwa wanamcheka sana eti Msomi mzima unaendeshaje boda boda. Leo hii ninavyokwambia kapata kazi ni Bosi kwenye Shirika fulani la Kimataifa na yupo nje ya nchi. Jamaa zake waliokuwa wanamcheka bado wapo wanazurura na bahasha za khaki posta pale.
Kiukweli bahati nzuri tu mimi nina mfanyakazi ambaye yupo vizuri sana otherwise ungenifaa sana. Nakutakia kila la heri.
Ujumbe: Zama hizi sio za kuchagua kazi, hasa kwa wale wanaotoka shule sasa hivi. Wako watu hapa watakubeza wakati kwa siku hawaingizi hata 100.
Kila la heri