UNANIVUNJA mbavu kweli wewe!lolKulipa lazima.
okayDah ....keep limber[emoji87]
Usimnyime mtoto Mapigo!! ila kabla haujampiga angalia kutenda KwakoHongera kwa ubunifu mwalimu... Ila waalimu mnaboa Kuchapa watoto
wasiwasi ndyo akili ila si kila wasiwasi ni akiliDah.... Ndiyo maana nikasema hii ndiyo mbinu mpya ya hawa vijana....[emoji87] [emoji41] [emoji13]
Ananidanganya hivyoo etiiIkiwa ata 500 ya vocha hujawah nitumia...huyo ndo utampa
Ohoo huyu chenga rafik angu wapare unawajua lakn?Ananidanganya hivyoo etii
kumbee labda roho mt kamshukia... BTW nimeona unatafuta kazi....course gani umesoma kama hautojaliOhoo huyu chenga rafik angu wapare unawajua lakn?
Ntakupmkumbee labda roho mt kamshukia... BTW nimeona instagram kazi course gani umesoma kama hautojali
poaaNtakupm
Elfu 50 per weekMshahara unaanzia sh ngap?!
Ahsante sanaKila la heri dadangu
Na mim nakusalimia pia..nakupm soonNa mimi naomba uni PM.
Nakusalimia...
Fanya hivo itapendeza zaidiMwalimu umepata kazi?
Wewe ni jasiri sana.
Natamani niweke mkono wangu kwenye kukusaidia kupata kazi ya professional yako.