mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,401
- 23,193
Kazi zipo za kufanya au unafikiri mabachelor hawana kazi za ndaniNdyo hauna watoto!! Kipengele cha pili ni usafi..
Kazi zipo za kufanya au unafikiri mabachelor hawana kazi za ndaniNdyo hauna watoto!! Kipengele cha pili ni usafi..
haina shida kama upo tayari nicheck...Kama upo siriazKazi zipo za kufanya au unafikiri mabachelor hawana kazi za ndani
Utaruhusiwa kulala ili usihangaike kwenda na kurudi kila sikuhaina shida kama upo tayari nicheck...Kama upo siriaz
Hapana siwezi fanya hvyoKama unajua uko serious karibu, nitoe tu tahadhari kwamba mimi CV yako nitaipekela sehemu husika na kwasababu wahusika wananijua naamini hawataitupa. Utahitaji kuwa mvumilivu na kumuomba Mungu ili waione kwa jicho la pekee usije ukanianzishia thread siku moja kwamba nilikuwa muhongo.
Basi itapendezaHapana siwezi fanya hvyo
No thank youUtaruhusiwa kulala ili usihangaike kwenda na kurudi kila siku
Maisha magumu ujue fursa kama hz sio za kuchezeaFursa![emoji28] [emoji28] [emoji13] [emoji13]
Thanks mwayaNakutania mwaya wala usiwe na wasiwasi,cha msingi usikate tamaa ipo siku yako tuu mambo yako yatanyooka!!.....Karibia kila mtu amepitia hali kama ya kwako cha msingi usikate tamaa mwaya!
Ahsante kwa kunitia moyoIts nice idea japo kufanikiwa kunaitaji determination, hardworking persistence and luck!
Karibu,.. Jitahidi uanzishe kampuni yako ya usafi, watu wanaoishi kweny apartments wanawaitaj sana service zenu, all the best !Ahsante kwa kunitia moyo
Nashukuru sanaKaribu,.. Jitahidi uanzishe kampuni yako ya usafi, watu wanaoishi kweny apartments wanawaitaj sana service zenu, all the best !
Kwa huu muda unaosubiri ajira, unaonaje nikikuoa kwa mkataba mpaka siku utakapopata ajira yako na mkataba uishie hapo?! Ntakulipa laki kwa wiki.Mimi ni mwanamke mwenye umri usiopungua miaka25.Nimehitimu shahada ya sanaa ya Elimu Yaani "Bachelor of Arts with Education"
Nimekuja Hapa jamvini kuomba nafasi ya kuwa mfanyakazi wa Ndani anayekuja na kuondoka
Kazi kuu inayonifaa ni
a. Kulea watoto
Nina ujuzi wa kutosha kulea watoto kielimu...kimaadili na kimwili pia. Watoto wako watafurahi kushinda nami kipindi hiki cha likizo
b. Usafi
Kufua nguo Za watoto...kupiga Deki nk
Niko kama machine kwani nimekulia kwenye familia ya watu wengi
Kazi nisizoweza kufanya:
Kumpikia Mume wa mtu Kama nitapata kwenye familia ya Mke na Mume.. Hiyo ni kazi ya mke
Kufua nguo za mume wa mtu
Ikiwa nitapata mwajiri mume ama Mke Asiye na mwenza hizo kazi naweza kufanya!!
Ratiba
Nina uwezo wa kufika saa kumi na mbili asubuhi na kuanza taratibu za kazi mpka saa kumi na mbili jioni
.Kila siku kasoro jumapili na siku nitazokuwa naenda kwa interview.
Malipo:
Elfu hamsini kwa wiki.
Uaminifu
Asilimia Mia...
Mahali ninapoishi
Dar es salaam pembezoni kidogo na mji
Nb
Wengine mtanipa ushauri nianzishe tuition nishaanzisha
Imekufa Wazazi huku uswazi wagumu kutoa pesa na watoto hawapendi kusoma.
Mitumba viatu nimeuza yaani nimetembeza door to door... Mtaji umekufa.
Ahsanteni.
Aliye tayari anipm
Mie nadhani masters ingependeza zaidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi umepata lkn mm sina familia nakaa peke yangu (bachelor) hapo unaonaje?
Bahati ya mtu usilalie...............................!Na mm naomba nku pm cv zangu ili milango ya rehema ikifunguka na mm niwepo
MmmmhBahati ya mtu usilalie...............................!
Me nipo ingawa bado sijajua kaz yenyewNahitaji wadada kama wa5 hivi sijui nitawapata vipi nataka niwape kazi na niko mwanza na kazi itakuwa mwanza.
Ha ha haaaa. ,,typing error mkuu au kweli umemaanisha Sospeter?Kama unajua uko serious karibu, nitoe tu tahadhari kwamba mimi CV yako nitaipekela sehemu husika na kwasababu wahusika wananijua naamini hawataitupa. Utahitaji kuwa mvumilivu na kumuomba Mungu ili waione kwa jicho la pekee usije ukanianzishia thread siku moja kwamba nilikuwa muhongo.