Natafuta kazi za ndani(maid)

Natafuta kazi za ndani(maid)

Naomba kama utaweza uni pm , halafu uje uniletee CV yako naweza kukusaidia kama Mungu atafungua milango ya Rehema ukapata walau kazi ya mkataba wa miezi 3 mitatu, kwenye taasisi za umma. Hata kama hutapata mwaka huu ila ni vzr CV yako ikawepo tu
 
Naomba kama utaweza uni pm , halafu uje uniletee CV yako naweza kukusaidia kama Mungu atafungua milango ya Rehema ukapata walau kazi ya mkataba wa miezi 3 mitatu, kwenye taasisi za umma. Hata kama hutapata mwaka huu ila ni vzr CV yako ikawepo tu
Amen nitafanya hivyo
 
Duh .ningekuwa dar ningekuchukua.unafundisha masomo yapi? Kuna shule inahitaji mwl wa physics .vipi? Pole sana binti Mungu atakufanyia wepesi kwenye hitaji lako.
 
Naomba kama utaweza uni pm , halafu uje uniletee CV yako naweza kukusaidia kama Mungu atafungua milango ya Rehema ukapata walau kazi ya mkataba wa miezi 3 mitatu, kwenye taasisi za umma. Hata kama hutapata mwaka huu ila ni vzr CV yako ikawepo tu
Na mm naomba nku pm cv zangu ili milango ya rehema ikifunguka na mm niwepo
 
Na mm naomba nku pm cv zangu ili milango ya rehema ikifunguka na mm niwepo
Kama unajua uko serious karibu, nitoe tu tahadhari kwamba mimi CV yako nitaipekela sehemu husika na kwasababu wahusika wananijua naamini hawataitupa. Utahitaji kuwa mvumilivu na kumuomba Mungu ili waione kwa jicho la pekee usije ukanianzishia thread siku moja kwamba nilikuwa muhongo.
 
Mkuu haja yako itatatuliwa ila elfu hamsini kwa wiki kwa mwananchi mwenye kipato cha kawaida itamuwia vgumu maana ndo mishahara tunayowalipa mabinti zetu kwa mwezi.
Ila kila la kheri kwa moyo wako wa kuthubutu
Ahsante
 
Ni vizuri kutoa tahadhari... Lakini Mimi nina shida Mkuu..siyo tapeli...Na naamini mpka mtu umemkabidhi kitu inabidi ujue anapokaa au hata barua serikali za mtaa zihusike
Ndugu Yangu Hakuna Sehem Ambayo Nimesema Wew Ni Tapeli

Tambua Hilo
 
Kazi umepata lkn mm sina familia nakaa peke yangu (bachelor) hapo unaonaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom