Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Nafikiri ukiacha Shaaban Robert na Kezilahabi huyu, bwana naye yumo kati ya waandishi magwiji. Baadhi ya kazi alizoandika ni.
1.Mzimu wa watu wa kale
2. Kisima cha Giningi.
3. Duniani kuna watu
4.Siri ya sifuri
5.Mke mmoja waume watatu
6. Mwana wa yungu hulewa
7. Kosa la bwana Msa.
1.Mzimu wa watu wa kale
2. Kisima cha Giningi.
3. Duniani kuna watu
4.Siri ya sifuri
5.Mke mmoja waume watatu
6. Mwana wa yungu hulewa
7. Kosa la bwana Msa.