Natafuta kazi za huyu Gwiji wa fasihi(Mohammed Said Abdulla, 1918-1991).

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Nafikiri ukiacha Shaaban Robert na Kezilahabi huyu, bwana naye yumo kati ya waandishi magwiji. Baadhi ya kazi alizoandika ni.

1.Mzimu wa watu wa kale
2. Kisima cha Giningi.
3. Duniani kuna watu
4.Siri ya sifuri
5.Mke mmoja waume watatu
6. Mwana wa yungu hulewa
7. Kosa la bwana Msa.
 
Nafikiri ukiacha Shaaban Robert na Kezilahabi huyu, bwana naye yumo kati ya waandishi magwiji. Baadhi ya kazi alizoandika ni.

1.Mzimu wa watu wa kale
2. Kisima cha Giningi.
3. Duniani kuna watu
4.Siri ya sifuri
5.Mke mmoja waume watatu
6. Mwana wa yungu hulewa
7. Kosa la bwana Msa.
Tembelea maktaba ya mkoa huwezi kosa kimoja wapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom