Natafuta kazi ya ufundi

Natafuta kazi ya ufundi

kijiwesports

New Member
Joined
Jul 13, 2026
Posts
2
Reaction score
1
Mimi ni kijana wa kiume niko mbele yenu wanajukwaa kunisaidia kupata kazi hasa za ufundi mimi ni mtaalam wa fundi selemara , fundi wa kuchomelea na kuunga vyuma na fundi aluminiamu lakini pia nimesoma graphic designer kama kuna taasisi au mtu binafsi naomba unishike mkono kutoka na fani zangu.
Kwa sasa napatikana Dar es salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom