utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Jamani nisaidieni kazi kwenye taasisi za kiraia ,nimechoka kutumikia serikali ya awamu ya nne ,sasa yaelekea bado ninao mpaka m2015! nina BA katka utawala na uzoefu mambo ya jamii hii serious bosi wangu kasema hawezi kulipa mishaara mizuri hata kwa miaka 8!nimemmyima kura kama alivyoomba haikuwezekana!pleas!