Marycigeh meru
Member
- Jun 11, 2023
- 9
- 56
Habari mimi ni kijana wa miaka 24 nimemaliza chuo mwaka huu natafuta kazi yoyote halali ya kuniwezesha kupata kipato.
Mf. Kuuza duka/ supermarket, kuwa cashier, kupokea wageni au kufundisha watoto wadogo.
Napatikana Dar es salaam
Mawasiliano; 0762408926
Mf. Kuuza duka/ supermarket, kuwa cashier, kupokea wageni au kufundisha watoto wadogo.
Napatikana Dar es salaam
Mawasiliano; 0762408926