Natafuta fundi wa mwenye ujuzi wa 'fixed hall chairs'

Natafuta fundi wa mwenye ujuzi wa 'fixed hall chairs'

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
13,680
Reaction score
41,128
Habarini jf, natafuta fundi au mtu yoyote ambaye anaweza kujua chimbo ya viti vya ukumbini hususani lecture rooms ya idadi ya viti kama 200 kwa 250 seats kwa dizaini ya viti ndo kama hi, naomba fundi mwenye ujuzi kuviweke (fixing) mwenye uzoefu na hiyo kazi pia awe nauwezo wakutofautisha aina na gharama kila dizaini ya viti.
Screenshot_20220725-193954_Google.jpg
Screenshot_20220725-194219_Google.jpg
Screenshot_20220725-193859_Google.jpg
 
Habarini jf, natafuta fundi au mtu yoyote ambaye anaweza kujua chimbo ya viti vya ukumbini hususani lecture rooms ya idadi ya viti kama 200 kwa 250 seats kwa dizaini ya viti ndo kama hi, naomba fundi mwenye ujuzi kuviweke (fixing) mwenye uzoefu na hiyo kazi pia awe nauwezo wakutofautisha aina na gharama kila dizaini ya viti.View attachment 2303615View attachment 2303617View attachment 2303618
DAR PALE MAENEO YA KEKO FENICHA SIJUI WANAITA HIVYO..WAPO MAFUNDI WENGI TU NA KAMPUNI YA JAFFERY WACHEKI PIA
 
DAR PALE MAENEO YA KEKO FENICHA SIJUI WANAITA HIVYO..WAPO MAFUNDI WENGI TU NA KAMPUNI YA JAFFERY WACHEKI PIA
Bro nipe number yayote pale nifanye mawasiliano kwanza, ila ahsante
 
Bro nipe number yayote pale nifanye mawasiliano kwanza, ila ahsante

Wapigie hawa na uwaulizie namba za mafundi​

JAFFERY IND SAINI LTD​

CHANGOMBE INDUSTREAL AREA, P.O. Box 5416, Dar Es Salaam​

Other Details: +255222862877 +255 (22) +255222865051 +255773609999
 

Wapigie hawa na uwaulizie namba za mafundi​

JAFFERY IND SAINI LTD​

CHANGOMBE INDUSTREAL AREA, P.O. Box 5416, Dar Es Salaam​

Other Details: +255222862877 +255 (22) +255222865051 +255773609999
Hiyo ya zantel haifanyi kazi ila hizo za ttcl landline inaita nta wacheck kesho, shukurani
 

Wapigie hawa na uwaulizie namba za mafundi​

JAFFERY IND SAINI LTD​

CHANGOMBE INDUSTREAL AREA, P.O. Box 5416, Dar Es Salaam​

Other Details: +255222862877 +255 (22) +255222865051 +255773609999
Uhakika hapo atapata hao jamaa ndio wataalam wamambo hayo
 

Wapigie hawa na uwaulizie namba za mafundi​

JAFFERY IND SAINI LTD​

CHANGOMBE INDUSTREAL AREA, P.O. Box 5416, Dar Es Salaam​

Other Details: +255222862877 +255 (22) +255222865051 +255773609999
Naona hao Jeffery simu zao zote hazipokelewi, kama kuna wangine wanao dili na hivyo viti tafadhari.
 
Habarini jf, natafuta fundi au mtu yoyote ambaye anaweza kujua chimbo ya viti vya ukumbini hususani lecture rooms ya idadi ya viti kama 200 kwa 250 seats kwa dizaini ya viti ndo kama hi, naomba fundi mwenye ujuzi kuviweke (fixing) mwenye uzoefu na hiyo kazi pia awe nauwezo wakutofautisha aina na gharama kila dizaini ya viti.View attachment 2303615View attachment 2303617View attachment 2303618
Tuo tenda hiyo kazi wanafanya mafundi wapo keko na gerezani, mwone #liquid yule chapombe
 
hapo ni keko tu hao hao wahindi jafari indi singn..hao ndo walikula kanadarasi ya kuweka hivo vitu udsm mpaka maofisi mapya ya serikali. labda shida iwe bei tu..ukiweza mchomoe fundi wa kibongo wa hapo mpe kazi.
 
hapo ni keko tu hao hao wahindi jafari indi singn..hao ndo walikula kanadarasi ya kuweka hivo vitu udsm mpaka maofisi mapya ya serikali. labda shida iwe bei tu..ukiweza mchomoe fundi wa kibongo wa hapo mpe kazi.
Dadeq hawa jamaa ni nouma
Udom ile kila furniture yake wameweka wao
Kuanzia viti, vitanda had meza

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom