Luck Good
Senior Member
- Dec 9, 2020
- 129
- 209
- Thread starter
- #181
iko dhahabu ya vipande unakuta mwamba umelala njano tupu, na nyingine inakuwa mbolajjah jiwe linazungukwa na vipande vipande vya dhahabu, so inategemea na mgodi kuna migodi haina vipande lazima ufanye leaching ndo uone dhahabu maana iko kwenye mchanga..
Bora waelekeze wewe mkuu wanajifanya wanajua kumbe hakuna wajuacho