Natafuta Boyfriend aliye serious

Natafuta Boyfriend aliye serious

KWA MIJISIFA UNAYOITAKA HAKUNA HATA MMOJA UTAYEMPATA HAPA TANZANIA...LABDA UANDIKE NA KIJAPAN NA KIRUSI NA KIFILIPINO.....

KWA KIFUPI HIYO UNAYOHITAJI WEWE NI SPECIAL EDITION...ONGEA NA MUNGUAKUTENGENEZEE YAKO...

HIZI COMMON VERSION OF HUMAN BEING HUWEZI PATA MSTAARABU ALAFU ASIWE MWEUPE NA ASIWE MUISLAM...UMESAHAU USTAARABU UMEANZIA KWA WAARABU NA WENGI WAO NI WEUPE NA 99% NI WAISLAM....

TAFAKARI KISHA BADILI VIGEZO NA VIWE VICHACHE VITAVYOONGEZA WIGO WA WATUMA MAOMBI.

UMESEMA UNATAKA ASIWE MNENE WALA ASIWE MWEMBAMBA...NINI KIGEZO KWAKO CHA UNENE NA WEMBAMBA?...UNATUMIA UZITO KUANZIA KG NGAPI MPAKA NGAPI ILI NIWE MTU UNAYEMUHITAJI......

USIPOKUWA MAKINI KESHO UTAKUJA NA KIGEZO DUSHELELE ISIWE CHINI YA 10 INCHES.....BAADAE UTAKUJA NA KIGEZO ASIWE NA NYWELE ZA KIFUANI...YANI UNACHAGUA MPAKA UNAJICHANGANYA.....

ARGHHHHHHHH....KUMBE UNATAFUTA BOLIFRENDI...NILIJUWA MUMEEEEE...BAI ZE WEI UNA MIAKA 28 UNATAFUTA BOLIFRENDI????....

THERE MIGHT BE SOME LOOSE SCREWS SOMEWHERE UP THERE......NO DOWN THERE UNDER YA PANTS.

NI HAYO TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU........at least i care for now.
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.

Duh...uzee huu unanikosesha mwenza hivi hivi...tena mtoto wa nyumbani (Kilimanjaro) kabisa huyu!
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.

Kipind cha 18th to 24th ulikua unafanya nn??
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.
kwa tangazo hili tu, wewe ni nung'ayembe na wala huwezi kupata mchumba, utapata watu watakaotaka kukutumia na kukubwagwa kama ulivyobwagwa sana hadi leo unajiuza jf. kizuri chajiuza kibaya chajitembeza. wachumba wa kuoa hawapatikani jf wanatafutwa kwa kupiga goti kumwomba Mungu, ila wale wa kufanya uasherati na kukubwaga wapo hapa jf.
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.

Siku zote, Vigezo ni inversely proposion na umri, we ngoja ufikishe 30 uone kama mavigezo yatabaki hayo hayo
 
Hivyo vigezo duuu we huwezi kuwa mke mwema Bali ww ni dungaembe
 
kwa tangazo hili tu, wewe ni nung'ayembe na wala huwezi kupata mchumba, utapata watu watakaotaka kukutumia na kukubwagwa kama ulivyobwagwa sana hadi leo unajiuza jf. kizuri chajiuza kibaya chajitembeza. wachumba wa kuoa hawapatikani jf wanatafutwa kwa kupiga goti kumwomba Mungu, ila wale wa kufanya uasherati na kukubwaga wapo hapa jf.

Kama huna chochote cha kuongea kinachojenga, ni bora ukae kimya, jiheshimu, uheshimiwe, are you sure ninajiuza?!, by the way thanks kwa kunishtua kuwa humu ndani kuna danguro la chinichini, itakuwa unajua watu wanavyojiuza cause Wewe ni mteja wao mkubwa, Mimi sijiuzi humu, na nikitaka Men wa kutoka nao ninavyotaka, just for fun,nawapata wengi tu, so kama huna cha maana cha kuongea, make your bed and go to sleep!, usitukane watu hovyo usiowajua while unaongea about God.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom