Kwa mfano, ni bora uwe single/ uishi maisha yako ya kawaida or uolewe na mtu muishi maisha ya kawaida kuliko kuolewa na mwanaume mfano mfanyabiashara mwenye maisha ya juu ambaye kwenye mambo yake ya kibiashara ni mtu wakudhulumu sana wenzie, huyo hafai, atailetea familia matatizo na kuwaingiza kwenye beef zake na wengine.
Sasa mfano ndo umemchagua akabadilika akawa mtu wa ivo unafanyajee sasa na ndoa ndo imepita