Natafuta Boyfriend aliye serious

Natafuta Boyfriend aliye serious

Sijui hata nikuelezeeje, lakini wazungumzaji wa kiswahili wanaelewa, yaani sipendi mtu anayetafuta attention ya watu kwa kujishow off, kubwatukabwatua, kujifanya yuko juu, kujikweza na kuwaletea wengine majigambo, eg. wahudumu wa migahawa

Asante sana
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.
30yrs mwenyeji wa kilimanjaro,elimu ya chuo 4degree,
 
Mi ninazo zoote kasoro moja tu, siko Dar
 
Mpango wa mafanikio ya berlin uko inversely propotional to marriages jiulize why
 
Duu miaka 28 bado unahitaji boyfrnd? Y not mume? Nahisi ungejaribu kwenda za Mungu ukimwuliza habari ya Mume siyo mchumba wala bf
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.

ni PM tafazali.
 
Nasubiri ufike 30 ili uongeze sample space hasa kwenye mikoa anayotoka, dini na elimu.
 
Huuuii haya sasa vijana wangu, pigeni tongozo Mpwa wenu nifurahi mbona mnaishia kujikanyagakanyaga tu? Pigeni sound niwasikie vijana wangu kama mko doro njooni PM niwape somo, kha! mnataka mpewe nini? mtu na degree kabisaaaa
 
Hivi huyu binti ni tofauti na yule wa Mabibo Hostel aliweka video mtandaoni ya kutafuta mwanaume? nani mwenye ile video aipandishe hapa? nuiko nayo kwa WhatsApp but sijui namna ya kuiweka aisee......
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.

Umesahau kumention size ya Dush.......
 
Huuuii haya sasa vijana wangu, pigeni tongozo Mpwa wenu nifurahi mbona mnaishia kujikanyagakanyaga tu? Pigeni sound niwasikie vijana wangu kama mko doro njooni PM niwape somo, kha! mnataka mpewe nini? mtu na degree kabisaaaa

Tatizo sio dgree mkuu... hatuto... mbi dgree mtu husika je ananeema za allah vgezo katoa kibao ye anavyo
 
Tatizo sio dgree mkuu... hatuto... mbi dgree mtu husika je ananeema za allah vgezo katoa kibao ye anavyo

Sasa ushaambiwa mtu Ni mwenyeji wa Kilimanjaro hizo Neema za Allah azote wapi? Wale wanaangalia pesa tu Nido maana kataja degree hajataja sura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom