Nilibadili dini, mm ni mkristo...japo ukoo wa baba ni waislamu.Kama wewe ni Muslim nenda msikitini huko utapata atasimamia kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu km kwako ni Tales basi waache wengine...sio ww ndo uwe Judge...kwa credibility gani uliyonayo?Hivi huwa mnaamini hizi thread zinazoletwa hapa kuwa huwa ni vitu halisi?
Hapa utani mwingi kama vijiwe vya ghahawa!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimekuelewa mkuu, kuhusu mtu wa hapa mtaani...hamna mtu coz ni hapa mjini Ilala magorofani, kila mtu yuko bize na shughuli zake....hata kuonana na jirani mnaonana wikendi tuuu....kuhusu my past, wala hainisumbui, ni kwamba nahitaji Baba wa Hiari wa kunisimamia tu Ndoa ...basiMusa_ali, maisha yamebadilika sana. Sio kama zamani.
Natamani uachane na sympathy za watu na undelee na maisha yako. Mtegemee Mungu kwa kila kitu. Achana na haya mambo ya kusaidiwa saidiwa.
Kama ndugu alivyopendekeza hapo juu, tafuta mtu wa karibu hapo mtaani kwenu akamilishe lengo lako.
Lakini kingine, usikubali historia yako ya nyuma ikakufanya usisonge mbele na maisha yako.
Kila nikimkumbuka kijana Emma nacheka tumazingira yapi mkuu
Nenda kanisa unalosaliNilibadili dini, mm ni mkristo...japo ukoo wa baba ni waislamu.
Hakunamkuu binafsi sipo hapa kukupa mastory...if you are not concerned kuna ulazima wa kucomment? kiustraabu tu!!? kuna ulazima?
sio lazima iwe mwisho wa mwaka...tatizo kila ninachokiongea kwako ni FIXED!!
Msamehe bure!
Nimekuelewa mkuu, kuhusu mtu wa hapa mtaani...hamna mtu coz ni hapa mjini Ilala magorofani, kila mtu yuko bize na shughuli zake....hata kuonana na jirani mnaonana wikendi tuuu....kuhusu my past, wala hainisumbui, ni kwamba nahitaji Baba wa Hiari wa kunisimamia tu Ndoa ...basi
Au mazingira yanatengenezwa
[emoji252] [emoji479]
Kwanini unaamini sana watu wa mitandaoni?
Hauna ndugu au watu tuu ambao kwa njia moja au nyingine mnafahamiana zaidi?
Huko ilala hamna mtaa?siishi mtaani mkuu...ni hapa mjini Ilala...watu wako bize, mnaonana wikendi tuuu tena mnaweza hata msionane...kazi nyingi. nadhan umenisoma