Natafuta Baba wa Hiari anisimamie Ndoa

Natafuta Baba wa Hiari anisimamie Ndoa

Katika kanisa unalosali omba wazee wa kanisa mmoja wapo awed Baba yako wa hiari.
Ok nitazingatia ushauri...japo sina kanisa rasmi, hasa kwa hapa Dar, na mm ni mtu wa kazi, kwakweli sina kanisa la haraka la kwenda kuweka agenda kama hiyo mezani....labda nikae hapo km 6 months au miak 2, kitu ambacho ni kinyume na malengo yangu...nataka kanisa nitakalodumu nalo ni ambalo tutafunga ndoa na mke wangu...na girlfriend wangu sio mtu wa kanisa!!! nafanyaje?? na mm simaini kwamba mke lazima atoke kanisani
 
Tuambie kuhusu ndoa yako ya kwanza, nani alikusimamia?

Kwa nini usiende kwake tena?
Shangazi na bamdogo...wote tupo nao Dar..ila hatuna ukaribu kiviiile...hata nikiwauliza mambo ya ndani kumuhusu mzee wanapotezea, nadhan ni kwasababu hawajanilea...pia ile harusi niligharamia mimi 100%
 
Nipo serious.,....labda umeamua tu uwe sensitie....kipi ambacho hujaelewa hapo? Pia ungesoma my first thread ingekupa mwanga.

Mbaka na muda wa harusi ushapanga and you're not sure na mtu unaenda kumuoa , huwezi kuwa serious mkuu.
 
Musa_ali, maisha yamebadilika sana. Sio kama zamani.

Natamani uachane na sympathy za watu na undelee na maisha yako. Mtegemee Mungu kwa kila kitu. Achana na haya mambo ya kusaidiwa saidiwa.

Kama ndugu alivyopendekeza hapo juu, tafuta mtu wa karibu hapo mtaani kwenu akamilishe lengo lako.

Lakini kingine, usikubali historia yako ya nyuma ikakufanya usisonge mbele na maisha yako.
 
Wakuu,

Majuzi nilipost kuhusu kufuatilia chimbuko la Baba yangu huko Kigoma, wengi mkashauri ni bora nijenge tu maisha ya yangu/nitafute hela, mwenye shida na mimi atanitafuta mbele ya Safari...nimekubaliana na huo Ushauri. Pia kuna mliopendekeza ni bora nitafute Baba wa Hiari atakaye simamia mchakato wangu wa kuingia kwenye Ndoa/Harusi.

Kwahiyo nawasilisha kwenu, hasa watu wazima wenye familia na umri umeenda mlioko Dar, mmoja wenu ajitolee kuwa Baba wa Hiari (ni baada ya mimi kumpa full story) kisha awe tu kama Mlezi/Baba wa Hiari...kama vile ilivyo kwa "Baba wa Kiroho"...nadhani Waroma wataelewa zaidi maana hata Ubarikio mtu huwa na Wazazi sijui wa Ubarikio...sijui sana ila nshaskia.

Natarajia kuoa mwisho wa Mwaka huu, Mchumba tayari ninae japo sina Uhakika nae (nimekutana nae Dar), hivyo Baba wa Hiari, atakuwa na nafasi ya kurecommend binti, au kunishauri pa kuoa au wa kumuoa...NAFASI HIYO ANAYO.

Kuhusu gharama za Ndoa/Harusi, naweza kujichanga hata kama sitachangiwa na mtu hata mmoja. Nimeshaanza kusave.

Uzi uliopita ni huu:
Naomba mchanganuo wa Bajeti ya kutoka Dar to Kigoma. Naenda kutafuta Chimbuko la Baba yangu.

cc Shunie Mshana Jr ISIS Nyani Ngabu Erythrocyte Bavaria BAK Sakayo Mama Sabrina elvischirwa fredy18 Thad Sky Eclat thA goD @kanungila MAGACHA na members wote.
Kama wewe ni Muslim nenda msikitini huko utapata atasimamia kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbaka na muda wa harusi ushapanga and you're not sure na mtu unaenda kumuoa , huwezi kuwa serious mkuu.

Hivi huwa mnaamini hizi thread zinazoletwa hapa kuwa huwa ni vitu halisi?

Hapa utani mwingi kama vijiwe vya ghahawa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilifikiri nimesoma vibaya

Yaani mtu ambaye ndiye unajenga nae family huna uhakika nae?

Ukaenda mbali ukasema hata ukichaguliwa ni sawa!?
Mmh

[emoji252] [emoji479]

Mashikoro mageni hayaa.
 
Hivi huwa mnaamini hizi thread zinazoletwa hapa kuwa huwa ni vitu halisi?

Hapa utani mwingi kama vijiwe vya ghahawa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Au mazingira yanatengenezwa

[emoji252] [emoji479]
 
Back
Top Bottom