Ikulu ilishasema tuheshimu maoni ya watabiri, sasa wewe ni nani wa kuhoji utabiri huu?
Ahahahaah!! Huu nao ni utabiri?Natabiri wafanyakazi wengi watapata mishahara yao mwishoni mwa mwezi huu.
Mzimu wake...Du!!! Shehe YAHYA Hajafa!!!! au mzimu wake?
Isije kuwa kama Sheik Yahaya alitabiri kifo cha Dr Slaa eti akimpinga Kikwete atakufa matokeo akaondoka yeye!!!!!!!!!Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa,
Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa,
Mungu sikia sala zetu adondoke mkulu mwenyewe
Kufa kufaana, angekufa yule anaefanya maisha kuwa magumu tungeshukuru (ila tu kama kufa kwake kutaleta nafuu)Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa,
Mungu sika sala zetu adondoke mkulu mwenyewe
Vipi ulirithi mikoba ya Sheikh Yahaya? Kama ndiyo uliyerithishwa basi mshauri huyo Vasco da- Gama wako kwamba apunguze safari asije akapata ajali kwenye ndege, maana nusu ya maisha yake huwa yuko angani.Katika kipindi cha miezi mitatu ijayo, serikali yetu itapata janga kubwa la kundokewa na kiongozi mmoja mzito sana. Wale wenye kufanya dua na maombi naomba mshiriki pamoja kumuomba Mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu, wasipatwe na mabaya yoyote kama vile ajali, magonjwa,
Mambo mengine, yanabaki kuwa siri yake Mwenyezi Mungu siku zote. Kufa kumeandikwa na lazima kutimie. Si kitu cha kuhesabu kama ni laana maana wote tutakufa. Sifikirii huu ni utabiri sahihi labda kifo hicho kinapikwa sasa na kitatokea kwa lazina