jambo Tanzania
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 377
- 281
Tunasubiri dola milioni 300 zetu kwanza nyie tulieni
We unadhani kila anayekupinga ni ccm?Vijana wa lumumba bwana
Huna jipyaWe unadhani kila anayekupinga ni ccm?
Sasa ujue tu na ufatilie post zangu mimi sina chama wala sitetei ccm wala sitetei chadema.
Wewe mwenye njaa endelea kutetea wezi wenzako huko ccm na chadema.
Ukiwa mtu huru huwezi kuhangaika na mambo ya kijinga.
Sasa jipya lako ni kutafuta mambo ya kitoto kama haya?Huna jipya


hauko huru.au huna akili.siasa ndio maisha yako ya kila siku.We unadhani kila anayekupinga ni ccm?
Sasa ujue tu na ufatilie post zangu mimi sina chama wala sitetei ccm wala sitetei chadema.
Wewe mwenye njaa endelea kutetea wezi wenzako huko ccm na chadema.
Ukiwa mtu huru huwezi kuhangaika na mambo ya kijinga.
Nafatilia siasa kila dakika tena kila siku lakini huwezi kukuta nahangaika kutetea chama cha siasa.hauko huru.au huna akili.siasa ndio maisha yako ya kila siku.
sasa usiseme wewe si mwanasiasa bali sema si mwanachama wa chama cha siasa. siasa ndio inaamua maisha yetu hatuwezi kuishi nje ya siasa.Nafatilia siasa kila dakika tena kila siku lakini huwezi kukuta nahangaika kutetea chama cha siasa.
Ukishakua na chama unakua zuzu tu maana hata chama chako kifanye utumbo we lazima utatetea
We jamaa unafikiri kwa kutumia masaburi.sasa usiseme wewe si mwanasiasa bali sema si mwanachama wa chama cha siasa. siasa ndio inaamua maisha yetu hatuwezi kuishi nje ya siasa.
Usipindishe mada. Mshahara ni haki ya mtumishi.Ruzuku za Chama hazijaingia?
One of the most stupid.....We unadhani kila anayekupinga ni ccm?
Sasa ujue tu na ufatilie post zangu mimi sina chama wala sitetei ccm wala sitetei chadema.
Wewe mwenye njaa endelea kutetea wezi wenzako huko ccm na chadema.
Ukiwa mtu huru huwezi kuhangaika na mambo ya kijinga.
Njaa yako ndio inakufanya uhangaike na vyama vya siasaOne of the most stupid.....
Njaa yako ndio inakufanya uhangaike na vyama vya siasa
Kwani mwisho wa mwezi ni lini?Usipindishe mada. Mshahara ni haki ya mtumishi.
hahaahaa inafanana na ukweli MkuuUkiona mtu anaulizia mshahra JF basi ujue kuwa hata kale ka balance kakuchekia salio kwenye Bank account kupitia simu nako kanasoma 0.00