Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,248
...mtu anayefilisika huwa hajijui kama anafilisika...
Na aliyekwishafilisika?...mtu anayefilisika huwa hajijui kama anafilisika...
Hahahhaha mkuu uchumi umeyumbamkuu kuchelewesha siku 3 tu ishakuwa nongwa. subiri tumkabithi kwanza ofic gavana mpya
Soseji!!
Kifo humuumbuamficha ugonjwa..

Jamaa sio mzalendo anakwamisha juhudi za rais wetu!!!!Ruzuku za Chama hazijaingia?
Huu umbea usiokua na maana, hiyo mishahara imechelewa siku ngapi?Serikali huko nyuma imekuwa ikitoa mishahara ya watumishi wa umma kwenye tarehe 21 kila mwezi lakini mwezi huu imechelewa kutoa mishahara hiyo kutokana na uchumi kuyumba hii ni ishara tosha kuwa nchi yetu imeshuka kiuchumi .
Lissu humuumbuamficha ugonjwa..
Vijana wa lumumba bwanaHuu umbea usiokua na maana, hiyo mishahara imechelewa siku ngapi?
Kuna watu hamna kazi za kufanya zaidi ya kufatilia mambo ya kijinga kijinga ili mlete mada jf
wewe kama hauna ajira ya kulipwa mshahara kwa mwezi basi jikalie kimya kama mimi fanya shughuli zako usilazimishe maisha yako wayaishi wao.Hahaha ndiyo maana Mimi nafanya shughuli zangu binafsi.Wewe endelea kusubiri mshahara! Utaisoma namba
magufuli anaumbuka very soon.Kifo humuumbua![]()
Lissu kiboko ya maccm.Lissu humuumbua