GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
We endelea kupiga porojo. watanzania kwa dhamira njema kabisa wameamua kuutafuta ukombozi wa fikra kupitia CDM.
Ewe Mwenyenzi Mungu mfumbue binadamu huyu badala ya kuwa na Mdomo Mkubwa na masikio mapana awe na Akili pana zaidi ya kumsaidia kutambua haki zake zinapatikana wapi! Aamen!
Watanzania unao wasemea ww ni wangapi ? sema ww na familia yako tutakuelewa