kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Kisheria kuna maneno yakitamkwa ni uhaini inategemea kama kauli zake zinaangukia katika matamshi ya uhaini.
Ni muhimu kuchunga maneno kabla ya kutamka.
Hapo ndipo Polisi watakapomng'ang'ania na kumfikisha mahakamani kupata tafsiri ya kisheria.
Nape mbona walimuacha aliposema hii nchi ina wenyewe na wenyewe ni CCM?au ndio kusema tunatumia kale kamsemo ka kunya anye kuku akinya bata kaharisha?