Mnyonge Namba1
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 402
- 81
mmiliki wa club bilicanas kazuga tuh kuufuta msemo huo
lakin haswaa ndio ajenda yao mama hao jamaa,,kama vile ilivokawa kwa cuf
kimtokacho mtu ndio chake hiko
waondoe ukanda mioyoni mwao ili tuwape nchi hii
unless otherwise his state house will be the club which he owns..!
Usimlaumu Mbowe wala Nassari kenge wewe.Hebu kumbuka mwanzo wa kauli hizi"MBEYA NI NCHI,RAIS SUGU" na hii "Tunduma ni Nchi, Rais SILINDE".Sasa hapo mbowe au ukaskazini unatoka wapi wakati origin ya kauli hizi ni Mbeya?. Umekufa wewe,Upo Mochwari unasubiri kuzikwa 2015