hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi ]
samahani!!!!natafuta mke!!!!
viazi utawajua tu kwa maneno yaoKwa mara ya kwanza mahakama za tanzania zimetenda haki. Hongera hakimu na majaji wa mahakama za tanzania
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
Kyatamila!!!!
mhh mbona mna asira sana!teh teh
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi ]
samahani!!!!natafuta mke!!!!
Hivi we ntogwisangu ndo uliosoma azania... kama ndio nipm.. sorry beng out of topic.. just curious yo know u.
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
Lusinde
John Komba
Lwakatare Getruda