MCHUMIPESA
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,088
- 257
hata kama tuna ushabiki wa vyama,ila ni lazma kuweka maslahi ya nchi mbele kwanza...kama kuna mgombea alie kua na hadhi,elimu,hekima na sifa zote za uongozi,basi hakuna budi ya kumkubali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni...kwa hiyo nachosema ni kua godbless lema hana hadhi ya kua mbunge,na personality yake ni dhaifu na kwa upanda wa joshua nassari yeye ana kila kitu cha kupewa nafasi ya uongozi!!
TUMESHAFAHAMU LENGO LAKO NI NINI,JINA LAKO TU LINASADIFU UNACHOLENGA NI NIN,WATU KAMA WEWE HAWAFAI KATKA JAMII HII!,kwa taarifa yako lema ataendelea kuwa mbunge wa A.Town utake usitake magamba type we!.Uwe na hoja za haja na siyo pumba kama hz ulizoweka hapa kwa great thinkes!,shame on you.