Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Mizengo leo kachombeza kuwa wabunge vijana sio lazima waongee kwa sauti sana hadi kutetemeka. Wanaweza kuongea 'kistaarabu' polepole na wakasikika. Sasa mimi naomba kumuuliza Pinda
"Hivi watu wakivamiwa na mwizi, wako wawili, mmoja akawa anamnong'oneza mwizi ...'we mwizi, we mwizi acha kuiba jamani'..., Na mwingine akawa anapiga mayowe na makelele, na filimbi, ...mwiziiiiiiii, mwiziiiiiiiiiiii'.......... Kati ya hawa watu wawili, nani mwenye nia hasa ya kupambana na mwizi?
Maana wabunge vijana wanapiga kelele za kufukuza mafisadi...
"Hivi watu wakivamiwa na mwizi, wako wawili, mmoja akawa anamnong'oneza mwizi ...'we mwizi, we mwizi acha kuiba jamani'..., Na mwingine akawa anapiga mayowe na makelele, na filimbi, ...mwiziiiiiiii, mwiziiiiiiiiiiii'.......... Kati ya hawa watu wawili, nani mwenye nia hasa ya kupambana na mwizi?
Maana wabunge vijana wanapiga kelele za kufukuza mafisadi...