MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,484
- 20,437
Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
"Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi. Kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata CHADEMA au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lakini kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata," aliongezea Nassari.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe tofauti na hapo atakutana na mkono wa vyombo vya dola.
"Hata CCM hawajawahi kufanya mkutano wa hadhara kwa miaka kadhaa sasa, sio Kinana, sio Shaka wala mimi. Kinachofanyika ni ukaguzi wa ilani ya chama, ambapo hata CHADEMA au ACT wanaweza kufanya sehemu yoyote Ile walipo na serlikali, lakini kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kupata," aliongezea Nassari.