Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Get well soon
hakuna siku mbaya kwangu kama leo,baada ya kupata hizi taarifa
Getwell soon!
Jambo la pili ni kuzaa kwa uchungu mkubwaYeyote anayetumia neno 'umama' akilinganisha na udhaifu anatafuta laana au ameshalaaniwa bila kujijua. Hivi anajua ujasiri wa mama!?
Kitu cha kwanza (kati ya vingine vingi) ni kukuweka tumboni mwake kwa miezi 9.
Haya ni maneno tunayookota mitaani na kuyatumia bila kujua madhara yake halafu mambo yasipoenda sawa mtu anadai amerogwa!
Hata kama huna dini, utashi wako utakusaidia kulielewa hili, vinginevyo una kichaa kilichojificha.
Tumetoka kumuona muda si mrefu na kwa maelezo ya daktari anayemtibu katika hopitali ya Selin hana hata mchubuko wala jeraha licha ya kuwa yeye anasema anaumia sana
Bonny Makene are you insane nowdays???
Get well soon kamanda. Wataumiza mwili tu ila roho hawaiwezi. Shame on CCM na vibaraka wao polisi.
Hope he doesn't data y kasema vile...! Am a dr i don expect any of us to disclose pt's informatin as medical ethics is concerned....Acha ujinga na ondoa uchafu wako hapa.
Hospitali ya Selin ndio ipi?
Wewe umuone mgonjwa hospitalini halafu usije kusema ulichokiona ila uje kusema ulichoambiwa na Daktari, unawezekana kweli?
Toka lini Daktari akasema siri za ugonjwa wa mtu kwa mtu yoyote?
Nani alikwambia mgonjwa aliyeumia sana ni yule tu alichubuka au kupata majeraha mwilini? Do you know visceral injury, Intracerebral Haemorrhage, Psychological trauma, Post traumatic Syndrome, Closed Skull Fracture, Joint dislocation, Bone dislocation, Sprain, Intracranial Haemorrhage, Brain Concusion, Brain Contusion etc.
Tumetoka kumuona muda si mrefu na kwa maelezo ya daktari anayemtibu katika hopitali ya Selin hana hata mchubuko wala jeraha licha ya kuwa yeye anasema anaumia sana
Hapo bado kuna watu watakuja na kejeli zao. CCM inabidi wajue tuwa utu una dhamani kuliko pesa