Huyu Mungu anayetuponya ndiye atakayeleta ushindi.Mungu akiamua kaamua hakuna watakachofanya hata wajiwekee ulinzi vip watakufa tu labda watubu.uganga na uuajii utazimwa na Mungu muda si mrefu na wala hatutapigana bali watanyauka kama ua lichomwalo na jua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.