tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,814
- 15,105
Wadau,
Nipo mahali ambapo gross salary yangu ni 1.1 milion, hawa Mwananchi wamenipa ofa kubwa kidogo ya gross 1.52 milion lakini kituo cha kazi kitakua Dodoma.
Sasa hivi niko Arusha na maisha ya Arusha nimeyazoea sana as napata kila kitu ninachohtaji kwa bei nafuu. Naona kama Dodoma maisha yataniwia vigumu kidogo.
Je nikubali hyo ofa au niipotezee?
Nipo mahali ambapo gross salary yangu ni 1.1 milion, hawa Mwananchi wamenipa ofa kubwa kidogo ya gross 1.52 milion lakini kituo cha kazi kitakua Dodoma.
Sasa hivi niko Arusha na maisha ya Arusha nimeyazoea sana as napata kila kitu ninachohtaji kwa bei nafuu. Naona kama Dodoma maisha yataniwia vigumu kidogo.
Je nikubali hyo ofa au niipotezee?