Nashukuru baada ya mke wangu kuondoka, pesa inaonekana mfukoni

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,126
1,922
Kwakweli nina furaha kubwa sana isiyofaa kuelezea. Kabla ya kuoa maisha yangu yalikuwa mazuri sana pesa inaonekana mfukoni.

Baada ya kuoa mambo yakabadilika sana mke akaja pesa zangu zikaanza kupukutika kwasababu ya matumizi, hali ile ikanitesa sana nikaona umasikini huu umeshaingia kwangu tayari.

Nikawa na hali ngumu sana pesa zinayeyuka mara leo nyama, mara kesho kuku, mara nitoe out takataka kibao kiasi kwamba laki tatu ndani ya siku saba imeisha.

Nikaomba ushauri kwa wanaume wenzangu wakanishauri ujinga kwamba sitaki kuhudumia huku napiga hesabu naona kabisa 1Million inaisha kwa wiki mbili kwangu ilikuwa kama msiba mzito kuteketeza 1Million ndani ya wiki mbili kwenye matumizi ya kijinga eti tu nifuge mbunye wakati sabuni na wese lipo.

Juzikati nikachukua uamuzi mgumu nikamuigizia mke kama mimi nimekuwa fukara, nikagoma kununua chakula akaumwa njaa siku mbili, yatatu akadanganya wazazi wamemuita kabla hajamaliza kutamka nikampa nauli.
Kesho yake asubuhi akaondoka e bwana we tangu ameondoka pesa zangu sasa zinapumua.

Nimejikuta natumia elfu 10 tu kwa siku badala ya elfu 60. Alhamdullah kumbe ndo mana Rick Ross mpaka sasa hajaoa asee.
 
Kwakweli nina furaha kubwa sana isiyofaa kuelezea. Kabla ya kuoa maisha yangu yalikuwa mazuri sana pesa inaonekana mfukoni.

Baada ya kuoa mambo yakabadilika sana mke akaja pesa zangu zikaanza kupukutika kwasababu ya matumizi, hali ile ikanitesa sana nikaona umasikini huu umeshaingia kwangu tayari.
Acha kujificha ktk kivuli cha ndotoni, ungekuwa mwanaume mwenye akili timamu ungelizungumza na mkeo au kuweka msimamo wako bayana juu ya namna ya kuhandle maisha yenu ndani, kutenga budget na kumjuza ahakikishe inatumika ndani ya muda fulani siyo kupelekwa na mihemko.

Ulichoandika hapa kimekuvua nguo, wanaume wanaojitambua huwa washajua wakioa familia zao wataziendeshaje, sasa wewe sijui ulioa kwa kichwa cha chini au cha juu.

Hebu jifunze kwa wenzio maana unatia aibu, ptuuuuu.
 
Kwakweli nina furaha kubwa sana isiyofaa kuelezea. Kabla ya kuoa maisha yangu yalikuwa mazuri sana pesa inaonekana mfukoni.

Baada ya kuoa mambo yakabadilika sana mke akaja pesa zangu zikaanza kupukutika kwasababu ya matumizi, hali ile ikanitesa sana nikaona umasikini huu umeshaingia kwangu tayari.

Nikawa na hali ngumu sana pesa zinayeyuka mara leo nyama, mara kesho kuku, mara nitoe out takataka kibao kiasi kwamba laki tatu ndani ya siku saba imeisha.

Nikaomba ushauri kwa wanaume wenzangu wakanishauri ujinga kwamba sitaki kuhudumia huku napiga hesabu naona kabisa 1Million inaisha kwa wiki mbili kwangu ilikuwa kama msiba mzito kuteketeza 1Million ndani ya wiki mbili kwenye matumizi ya kisenge eti tu nifuge mbunye wakati sabuni na wese lipo.

Juzikati nikachukua uamuzi mgumu nikamuigizia mke kama mimi nimekuwa fukara, nikagoma kununua chakula akaumwa njaa siku mbili, yatatu akadanganya wazazi wamemuita kabla hajamaliza kutamka nikampa nauli.
Kesho yake asubuhi akaondoka e bwana we tangu ameondoka pesa zangu sasa zinapumua.

Nimejikuta natumia elfu 10 tu kwa siku badala ya elfu 60. Alhamdullah kumbe ndo mana Madee mpaka sasa hajaoa asee.

Excuse ya kitoto kabisa
 
Acha kujificha ktk kivuli cha ndotoni, ungekuwa mwanaume mwenye akili timamu ungelizungumza na mkeo au kuweka msimamo wako bayana juu ya namna ya kuhandle maisha yenu ndani, kutenga budget na kumjuza ahakikishe inatumika ndani ya muda fulani siyo kupelekwa na mihemko.
Ulichoandika hapa kimekuvua nguo, wanaume wanaojitambua huwa washajua wakioa familia zao wataziendeshaje, sasa wewe sijui ulioa kwa kichwa cha chini au cha juu.
Hebu jifunze kwa wenzio maana unatia aibu, ptuuuuu.
Akili kubwa
 
Acha kujificha ktk kivuli cha ndotoni, ungekuwa mwanaume mwenye akili timamu ungelizungumza na mkeo au kuweka msimamo wako bayana juu ya namna ya kuhandle maisha yenu ndani, kutenga budget na kumjuza ahakikishe inatumika ndani ya muda fulani siyo kupelekwa na mihemko.
Ulichoandika hapa kimekuvua nguo, wanaume wanaojitambua huwa washajua wakioa familia zao wataziendeshaje, sasa wewe sijui ulioa kwa kichwa cha chini au cha juu.
Hebu jifunze kwa wenzio maana unatia aibu, ptuuuuu.
Mke anayeshirikiana na familia yake kumpora mwanaume huyo ni mke ama mwizi, majambazi wakubwa wale mafidhuli wakubwa wakamuuze mwanao wapate hela, nimechoka kulimia familia nzima ya mke
 
Back
Top Bottom