Nashughulikia mambo mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma) au sehemu husika kama wapo hapahapa Dodoma.

Kwa kufanya hivyo, huwa wanaokoa gharama za usafiri na malazi na badala yake, huchangia kiasi cha fedha, nikishamaliza kuwashughulikia hayo matatizo na kuridhika na huduma niliyoombwa kuifanya.

Mfano wa huduma ambazo mara kadhaa huambiwa niwashughulikie ni kama kwenda kwenye Wizara mbalimbali kama wizara ya mambo ya ndani, wizara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa,kupeleka barua za kuomba uanzishwaji wa viwanda vya vilipuzi, pia kwenda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kuomba statements za mikopo yao, kwa wale wanaokuwa na lengo la kumaliza madeni yao (loan liquidation), kufuatilia barua za wale walioachishwa kazi na wameomba kurudishwa kazini, kufuatilia kwa wale waliostaafu mafao yao kwa kupeleka viambatanisho husika kwenye mifuko waliokua wanachangia, kufuatilia hati za viwanja, kuwachukulia leseni za udaktari (practicing licenses) pale Medical Council of Tanganyika (MCT), kuwachukulia transcripts baadhi ya wadau wanaozihitaji pale NACTE VET n.k

Endapo wewe ni mmoja wa wale wanaohitaji huduma zenye kushabihiana na nilizotolea mfano hapo juu na hata kuuliza tu, karibu PM au hapahapa, kama utakuwa na la kuuliza.

Asanteni.
Mawasiliano: 0765920855
Hii ni bonge ya ubunifu ulioufanya. Ikiwezekana usajili kampuni kabisa iwe rasmi..!
 
Hata wewe mwenye uhitaji wa;-

📍USAIDIZI WA KUPATA HATI MILIKI YA ARDHI ILIYOPIMWA
📍KUOMBA KIBALI CHA UJENZI

📍KUANDAA MIKATABA YA KISHERIA YA ARDHI


Na nyinginezo... waweza kufanya mawasiliano.
 
Ungana na wenzako wenye mambo yasiyowalazimu wao kuwa maeneo ya kupatiwa huduma kwa kuwasiliana na DODOMA MESSENGERS kwa 0765920855,uweze kusaidiwa kushugjulikia kwa gharama nafuu.
Hii ni kwa wewe uliye mbali na DODOMA au upo DODOMA ila umebanwa na kazi nyingine
 
Fikiria safari ya kutoka Mwanza au Bukoba,uchovu unaoupata,nauli zinazotumika na mambo mengine,halafu ufikirie kuepushwa na hayo yote,kwa gharama nafuu hasa unaposaidiwa kupata huduma stahki,huoni kua ni jambo jema ukifanya mawasiliano na DODOMA MESSENGERS?
Piga au tuma sms muda wowote,upewe utaratibu kwenye 0765920855.
 
Nahitaji MTU anayetoa huduma kama hii yako ila aliyepo Dar es salaam
Kuna wadau walikua wanawasiliana namimi kuhusu kuanzisha Kwa Dar,sijajua kama walishaanzisha au laa,bilashaka wakiona hiyo komenti yako wanaweza wanawasiliana nawewe kama walianzisha.
 
Kwa wewe uliye mbali na jambo lako halikulazimu kuwepo eneo la kupatiwa huduma,usisite kufanya mawasiliano kwa 0765920855,hata wewe ambaye upo DODOMA, unaweza kufanya hivyo.
 
Wewe mhitaji wa leseni pale MCT,chakufanya ni rahisi tu,andaa barua yako ya kuchukuliwa leseni husika halafu tuma kwa 'Dodoma messengers' kwa 0765920855 kwa whatsapp,then omba uchukuliwe.Utaipata hukohuko uliko pasipo kulazimika kusafiri
 
Huna haja ya kuwaza kuwa ntawahi kweli kufika eneo nikafanye site visit ilhali DODOMA MESSENGERS wapo na wanauzoefu wa kuifanya hiyo kazi.Fanya mawasiliano kwa 0765920855 useme ni wapi umeona tender,toa maagizo,ufanyiwe kazi na kupewa mrejesho wa uhakika
 
Back
Top Bottom