Nashndwa kupata access ya jamii forum.

Nashndwa kupata access ya jamii forum.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,354
Wakuu,ninatumia simu ya nokia 5130,mwanzo ilikua haina shda,bt toka juzi kila nkitaka kuingia jf,inaniambia error,the web u are looking is timed out,so naomba kufahamishwa,ni simu ndo ina matatzo au ni web ya jf ndo ina matatzo.thanx
 
Fanya kuni PM hiyo simu nikusaidie kufanya setting ukishindwa jaribu kubrowse hivyo hivyo lazima itakubali kama ulivyoweza kuituma hii post
 
Wakuu,ninatumia simu ya nokia 5130,mwanzo ilikua haina shda,bt toka juzi kila nkitaka kuingia jf,inaniambia error,the web u are looking is timed out,so naomba kufahamishwa,ni simu ndo ina matatzo au ni web ya jf ndo ina matatzo.thanx

Hata mimi huwa inaniandikia hivyo then nakaa muda kidogo kama dk 10 hv najaribu tena inakubali.mi nahic ni matatizo ya mtandao tu.
 
hata mimi imeshanitokea kama mara mbili ila ukirudia tena inakubali
 
tatizo sio jf tatizo ni network zenu hasa network ya edge/gprs kwa tanzania ina speed ndogo sana angalia kama simu yako ina 3g enable it am sure hutapata tena hilo tatizo
 
tatizo sio jf tatizo ni network zenu hasa network ya edge/gprs kwa tanzania ina speed ndogo sana angalia kama simu yako ina 3g enable it am sure hutapata tena hilo tatizo

Mbona mimi cmu yangu ina 3g enable na ninapata tatizo hilo?
 
hata mimi nikitumia opera mini napata tabu sana kuingia. hadi naamua kutumia BOLT. kutakuwa kuna tatizo.hili tatizo limeanza tangu ijumaa iloisha. zamani ilikua fasta lakini sasa hivi unaingia hata mara 7 bila mafanikio. wanakuambia error wakati hiyo hiyo browser unaingia fb, cnn,mjengwa, michuzi, bbc, bila tatizo. kwanini jf tu???. lakini ukifanikiwa kuingia kwenye majukwaa, kupost, kucomment hupati tabu. bila shaka invisible atalifanyia kazi. Mia
 
hata mimi nikitumia opera mini napata tabu sana kuingia. hadi naamua kutumia BOLT. kutakuwa kuna tatizo.hili tatizo limeanza tangu ijumaa iloisha. zamani ilikua fasta lakini sasa hivi unaingia hata mara 7 bila mafanikio. wanakuambia error wakati hiyo hiyo browser unaingia fb, cnn,mjengwa, michuzi, bbc, bila tatizo. kwanini jf tu???. lakini ukifanikiwa kuingia kwenye majukwaa, kupost, kucomment hupati tabu. bila shaka invisible atalifanyia kazi. Mia

Acha kuandika uongo hiyo BOLT browser haipo toka mwaka jana.
 
Back
Top Bottom