Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Jamani, mtu kajitutumua kutunga mada mnaita chai 😅😅😅Ndio maanake
Hamtaiona pepo nyie watu wa Jf aisee😂😂😂
Jamani, mtu kajitutumua kutunga mada mnaita chai 😅😅😅Ndio maanake
Asante Marcy 😊Asante😎
ni mkongomani huyo anakujaje tz kiongozi? aende kwao nord kivu uko akaungane na m23.NO...hapo fanya umrudishe TZ apambane..
Barikiwa sana...Ufike salama Mimi mpaka saa 10 ndio na sign out.
hahahaha hatariWazee wa chai.
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo hao hawaaminiki hata chembe
Dah!hahahaha hatari
That's allDah!
Hatari
Siku hizi makaburi nayo yanapitiwa na mafuriko marehemu wanabebwa.Nadhani ndugu yangu utapumzika kaburini... kilasiku changamoto tu...
Kwani uliwakosea Nini walimwengu jamani😭
Amen.Barikiwa sana...
Watunzie siafu hayo maini mamii😁Naona mnaitana kuyapasha maini
Kuna mmoja anajiita money penny, sijawahi kumuelewa na nikiona uzi wake sifunguiWazee wa chai.
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo hao hawaaminiki hata chembe
Hahahaha 😂😂😂Kuna mmoja anajiita money penny, sijawahi kumuelewa na nikiona uzi wake sifungui