Nashindwa nini niamue katika situation hii

Nashindwa nini niamue katika situation hii

Wewe nae unataka tulete nyuzi za furaha kama hatuna je

Kama wewe kwenye maisha yako ni amani tupu mshukuru Mungu na sisi tunaitamani hiyo furaha Mungu aliyo kubarikia
Hadi hapa umelalamika na kusikitika tu!

Ubongo 🧠 wako umeshajua wewe ni wa masikitiko kila kukicha.

You need to reset your brain to happiness.
 
Wewe nae unataka tulete nyuzi za furaha kama hatuna je

Kama wewe kwenye maisha yako ni amani tupu mshukuru Mungu na sisi tunaitamani hiyo furaha Mungu aliyo kubarikia
Kila mtu anawakati wake wa shida na furaha. Nyakati za shida zisikufanye usahau nyakati za furaha. Set akili yako izichukulie shida unazopitia ni kama mafunzo unayopewa na si kama maumivu.
 
Pole.
Saidia tu kwa uwezo wako, mtafutie hata ka chumba, fanya utafiti, wenye hali yake lazima wanapata msaada, kumbuka uko Canada na siyo DANGANYIKA! Options are there for you, citizens bureau and such, ask, research....
Lazima aishi kivyake asije vuruga familia yako...
 
Back
Top Bottom