Nashindwa kupata usingizi kwasababu ya makelele ya baa jirani

Nashindwa kupata usingizi kwasababu ya makelele ya baa jirani

Lighton

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
1,902
Reaction score
3,096
Hivi Sasa ni saa 2:30am sijalala kwasababu ya hizi kelele.

Ni kweli tunatamani nyumba zilizo karibu na barabara kwasababu ya huduma ndogo ndogo za kijamii, lakini Sasa hivi biashara nyingi ni baa, yaani kila baada ya nyumba nne ni baa.

Nilipohama ilikuwa ni kelele kuanzia mda ninaorudi nyumbani mpaka saa 6 mziki unazimwa na ni maeneo ya mongo la ndege ila huku nilipohamia ni makelele mpaka asubuhi. Yaani ni ubahatike usingizi ukupitie, maisha magumu sana haya this time Kodi ikiisha nitakuwa makini sana kuchagua chumba.

MUNGU anijalie nitimize malengo yangu nijenge huko kijijini masaki(chanika) nitakuwa na amani.
 
Hivi Sasa ni saa 2:30am sijalala kwasababu ya hizi kelele.

Ni kweli tunatamani nyumba zilizo karibu na barabara kwasababu ya huduma ndogo ndogo za kijamii, lakini Sasa hivi biashara nyingi ni baa, yaani kila baada ya nyumba nne ni baa.

Nilipohama ilikuwa ni kelele kuanzia mda ninaorudi nyumbani mpaka saa 6 mziki unazimwa na ni maeneo ya mongo la ndege ila huku nilipohamia ni makelele mpaka asubuhi. Yaani ni ubahatike usingizi ukupitie, maisha magumu sana haya this time Kodi ikiisha nitakuwa makini sana kuchagua chumba.

MUNGU anijalie nitimize malengo yangu nijenge huko kijijini masaki(chanika) nitakuwa na amani.
Si bora hizo baa kuliko kuamshwa saa kumi kasoro robo huku umewekewa lispika la watts 10,000 ukiamshwa uende kuswali msikitini na unahimizwa kabisa kuwa kuswali ni muhimu kuliko usingizi wako na huyu anayekuambia hivi ni mtu anayelala pale msikitinii bure na kula tende bure pia.
 
Si bora hizo baa kuliko kuamshwa saa kumi kasoro robo huku umewekewa lispika la watts 10,000 ukiamshwa uende kuswali msikitini na unahimizwa kabisa kuwa kuswali ni muhimu kuliko usingizi wako na huyu anayekuambia hivi ni mtu anayelala pale msikitinii bure na kula tende bure pia.
Amka amka amkaa.... hilo shuka ni sanda yako, hicho kitanda ni machela yako ya kukupela kaburini, utasema nini siku ya kiyama..amka amka uswali....
 
Hivi Sasa ni saa 2:30am sijalala kwasababu ya hizi kelele.

Ni kweli tunatamani nyumba zilizo karibu na barabara kwasababu ya huduma ndogo ndogo za kijamii, lakini Sasa hivi biashara nyingi ni baa, yaani kila baada ya nyumba nne ni baa.

Nilipohama ilikuwa ni kelele kuanzia mda ninaorudi nyumbani mpaka saa 6 mziki unazimwa na ni maeneo ya mongo la ndege ila huku nilipohamia ni makelele mpaka asubuhi. Yaani ni ubahatike usingizi ukupitie, maisha magumu sana haya this time Kodi ikiisha nitakuwa makini sana kuchagua chumba.

MUNGU anijalie nitimize malengo yangu nijenge huko kijijini masaki(chanika) nitakuwa na amani.
Moja ya taasisi zilitakiwa kufutwa ni NEMC,
Miongoni mwa kada zinazotakiwa kufutwa na watu wake kupangiwa majukumu mengine ni msbwana na mabibi afya
Hawa wote kwa ujumla wao wapo maofisini kula rushwa za hao wenye miziki, wanakuambia jioni twende tukawakamate, mkiwa njiani wanawatumia meseji wazime muziki ili kupoteza ushahidi wa kwamba wanakelele
 
Kuna utabiri unaendelea huko huenda ukaleta nafuu kwa machungu unayopitia

 
Amka amka amkaa.... hilo shuka ni sanda yako, hicho kitanda ni machela yako ya kukupela kaburuni, utasema nini siku ya kiama..amka amka....
Yaani hawa jamaa wa misikitini wanakera mno, mtu hana la kufanya anawapigia watu kelele eti wasilale waende kuswali. nashauri serikali iwakamate na kuwafunga hawa mazwazwa......kama Zanzibar serikali inaruhusu wapuuzi kupiga watu mitaani kwa kula basi na hapa Bara tuwe tunawakamata na kucharaza bakora hawa wasanii wa kizazi kipya (wapiga makelele usiku misikitini).
 
MUNGU anijalie nitimize malengo yangu nijenge huko kijijini masaki(chanika) nitakuwa na amani.
Kwani Huko ndio hakuna POLISI? Wale Jamaa wanapita usiku kwenye mabaa na kupewa pesa, nimewashuhudia wakienda Ibungu pale Mabibo mwisho, wanaanzia kigogo kule hadi Ubungo, wanaingia Sinza, wengine Wana deal na Tabata
 
Hivi Sasa ni saa 2:30am sijalala kwasababu ya hizi kelele.

Ni kweli tunatamani nyumba zilizo karibu na barabara kwasababu ya huduma ndogo ndogo za kijamii, lakini Sasa hivi biashara nyingi ni baa, yaani kila baada ya nyumba nne ni baa.

Nilipohama ilikuwa ni kelele kuanzia mda ninaorudi nyumbani mpaka saa 6 mziki unazimwa na ni maeneo ya mongo la ndege ila huku nilipohamia ni makelele mpaka asubuhi. Yaani ni ubahatike usingizi ukupitie, maisha magumu sana haya this time Kodi ikiisha nitakuwa makini sana kuchagua chumba.

MUNGU anijalie nitimize malengo yangu nijenge huko kijijini masaki(chanika) nitakuwa na amani.
Mkuu una bahati, sie wenzio huku kwetu tunaamshwa saa kumi kasoro na maspika ya concerts huku tukiambiwa kuswali ni muhimu kuliko usingizi wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom