Kampe lako nyau weweNasimama na wewe, wifi hana takko
View attachment 3310109
😂😂😂😂Ndo kashakuwa wifi yako sasa
Mawifi mmeanza gubu 😂😂😂Nasimama na wewe, wifi hana takko
View attachment 3310109
Huoni anajiita ankol 😹We ni KE ama?
Likiwa kubwa sana nalo hata sio poa, hilo ndio size nzuri.Nasimama na wewe, wifi hana takko
View attachment 3310109
Bongo hili tayari limekuwa jambo la kitaifa, sisi bado ni nchi ya kijamaa mkuu😁Shemeji yako kwa kaka yako au dada yako gani?
Bongo tunapenda sana kuunga undugu.Bongo hili tayari limekuwa jambo la kitaifa, sisi bado ni nchi ya kijamaa mkuu😁
Siku hizi ni kawaida kusikia Makonda, Makala, Nape n.k wanamwita Lissu kaka yao au mjomba wao, makonda wa daladala njiani wanawake wote ni shemeji zao. Rais anawaita viongozi walio wadogo kiumri kwake "wanangu" "watoto wake"Bongo tunapenda sana kuunga undugu.
Kuna dada mmoja Mmarekani mweusi alikuwa hapo Dar. Wamachinga wakamvamia "Shangazi shangazi chukua mali mpya hii hapa...".
Yule dada masikini hata Kiswahili hajui 😂😂😂
Mimi mwenyewe nimejistukia Mmarekani mweusi wa watu nimemuita dada 😂😂😂Siku hizi ni kawaida kusikia Makonda, Makala, Nape n.k wanamwita Lissu kaka yao au mjomba wao, makonda wa daladala njiani wanawake wote ni shemeji zao. Rais anawaita viongozi walio wadogo kiumri kwake "wanangu" "watoto wake"