Nashindwa kumzoea shemeji yetu

Nashindwa kumzoea shemeji yetu

Yaani kila nikimtazama labda nitaona kitu spesho juu yake lakini wapi.
Najiuliza maswali mengi hizi pesa zilizomwagwa hapa mbona haziendani na mwomekano yani apiarensi ya shem wetu?
Kwakweli najifariji moyoni najisemea labda ndio wale wa "usimuone hivyo huyo .....".
Yaani kwa apiarensi huku buza wako kibao na kama ndio kilikua kigezo mshkaji asingetumia mapesa yote kusafiri miles akati wa hivyo wako kibaao apa apa.
Smh.
Shemeji yako kwa kaka yako au dada yako gani?
 
Wanawake wenye matako ni wapumbavu sana kwani hudhani wanaume wote duniani huvutiwa na mitako yao!
Kwa siye waungwana tunajua JUX kaona nini kwa Priscilla!
Wonderful enough Nigeria inastaili ya warembo aina ya Priscilla wengi kuliko hapa kwetu kwa wenye viriba tumbo,tako kama lote,Miguuni makovu kama walipigana vita ya pili ya dunia🤣
 
UKWELI mademu wenye matako makubwa wako kwa ajili ya kuwaburudisha wazee wa umri pamoja na wahuni sababu ya kuliwa kinyeo we chunguza
Kwaza hayo ma-wowowo hayana any sexual function ni psychological fantasy tu kwa baadhi ya wanaume hasa soldiers, politicians, pensioners na wafungwa
 
UKWELI mademu wenye matako makubwa wako kwa ajili ya kuwaburudisha wazee wa umri pamoja na wahuni sababu ya kuliwa kinyeo we chunguza
Yanaongeza nguvu ya kiume.
 
Masikini unatamani kipigo chake.......je utaweza kuifinyia kama yeye??
 
Back
Top Bottom