Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,523
- 2,108
Mnapendaga makasha ya biscuits badala ya biscuits zenyewe 🤣 maana pia nimeona kuna mchungaji kashatabiri kuwa wataachana tuu.
Mmh ana shida gani huyu dada. ?Nasimama na wewe, wifi hana takko
View attachment 3310109
Kumbe hujui kitu, Vijana wako kwenye kufanya marketing na promotion za kazi zao za kisanii...Yaani kila nikimtazama labda nitaona kitu spesho juu yake lakini wapi.
Najiuliza maswali mengi hizi pesa zilizomwagwa hapa mbona haziendani na mwomekano yani apiarensi ya shem wetu?
Kwakweli najifariji moyoni najisemea labda ndio wale wa "usimuone hivyo huyo .....".
Yaani kwa apiarensi huku buza wako kibao na kama ndio kilikua kigezo mshkaji asingetumia mapesa yote kusafiri miles akati wa hivyo wako kibaao apa apa.
Smh.
Hizi ndio mada zako na level zako za fikraYawezekana ameambiwa ana nyota, kama wa huko Buza wana nyota ya punda awachukue hivyohivyo
Tako lipo bro lile la wenye akiliNasimama na wewe, wifi hana takko
View attachment 3310109