Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,328
Hamna braza lingekua hata Medium (m) au XL sasa hako ni Small (s)Likiwa kubwa sana nalo hata sio poa, hilo ndio size nzuri.
Hamna braza lingekua hata Medium (m) au XL sasa hako ni Small (s)Likiwa kubwa sana nalo hata sio poa, hilo ndio size nzuri.
Afu mi ntatumia nini, akachukue lingine uturuki 😁Kampe lako nyau wewe
Tatizo nguvu iliyotumika (pesa) nyingi sana ukifananisha na muonekano. yule angemuoa tu kimyakimya.Kuolewa sio suala la uzuri ndugu yangu yani unaweza kuta mtu ana beib mama kibao kawazalsha hakuwaoa ila subirii atakemuoaa ndo utashika kichwaa ushangae.
Mapenzi ni zaidi ujuavyo. Wasanii pia wana mambo mengi. Akioa wa Buza hiyo platform aliyopata unafikiri wana buza wangempatia. Kumbuka kaoa rich woman as well na famous.....Yaani kila nikimtazama labda nitaona kitu spesho juu yake lakini wapi.
Najiuliza maswali mengi hizi pesa zilizomwagwa hapa mbona haziendani na mwomekano yani apiarensi ya shem wetu?
Kwakweli najifariji moyoni najisemea labda ndio wale wa "usimuone hivyo huyo .....".
Yaani kwa apiarensi huku buza wako kibao na kama ndio kilikua kigezo mshkaji asingetumia mapesa yote kusafiri miles akati wa hivyo wako kibaao apa apa.
Smh.
Kama bado hujaoa na unaamini mke mwema ni sura na shape utapigwa na kitu kizito hadi utoe makamasiRule no 1. Make sure dem unaemuoa amewafunika ma x zako wote kwa uzuri.
Ndugu wa mme sio watu wa mchezo mchezo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Alimradi litingishike kidogo linaongeza urijali kila ukiliona linavyotetema, kuliko kiwe kigumu kama cha amdala. nguvu za kurudiarudia zitatoka wapi?
Kwani ankol ndio jina jipya la watoto wa MUJINI nini?Huoni anajiita ankol 😹
Sasa nimeelewa baada ya kufungua hii "code". .... Ndugu yetu kugongewa / kuzalishiwa na rotini bado Ina muumiza Sana. Hivi visasi tu hamna love kaona nae akawagongee wanaija😁"
Legend kaongeahata kinyeo chenyewe ni "hard to reach/access"
Acha tu kuna lingine muda wote linachezesha kalio, mpk nyuzi limejifungulia linagombaniwa Komeo punga anajiita..!! 😹😹Kwani ankol ndio jina jipya la watoto wa MUJINI nini?
Astaghafirrullah...Acha tu kuna lingine muda wote linachezesha kalio, mpk nyuzi limejifungulia linagombaniwa Komeo punga anajiita..!! 😹😹
Clearly akili zako zinatosha kuvuka barabara....Afu mi ntatumia nini, akachukue lingine uturuki 😁
Karibu tena, ukihitaji kuvuka barabara nicheki nikuvushe 🤞Clearly akili zako zinatosha kuvuka barabara....
Girl bye
Ni huzuni kwakweli 😥Astaghafirrullah...
Vijana wa hovyo wanapenda tope, mbaya zaidi tope la kidume, dunia ipunguze mwendo mie nishuke.
Uspesho wake umejichimbia kwa ndani sana wewe huwezi kuuona.Yaani kila nikimtazama labda nitaona kitu spesho juu yake lakini wapi.
Najiuliza maswali mengi hizi pesa zilizomwagwa hapa mbona haziendani na mwomekano yani apiarensi ya shem wetu?
Kwakweli najifariji moyoni najisemea labda ndio wale wa "usimuone hivyo huyo .....".
Yaani kwa apiarensi huku buza wako kibao na kama ndio kilikua kigezo mshkaji asingetumia mapesa yote kusafiri miles akati wa hivyo wako kibaao apa apa.
Smh.