NdioSimple answer, et huwez kurudsha!
TunajadilI tu mkuuNaona mmekutana!
Sawaok kama ni hivo basi hata kupokea hizo hela acha maana ukishikwa na reference namba za miamala utakosa ndoa .
Mfano huyo binti angekua kwenye ndoa afu ndo anakula pesa ya huyo jamaa mwingine kama hivyo,hapo napo ingebidi achekeche?anatakiwa awe nao wote awachekeche
Km umekosa ujasir wakurudsha hela ila wakumwmbia maneno makal umepata itakuw na ww una mtaka.Ndio
Apana shosti siwezi nafsi yangu haikubali nahisi nampa tamaa ya kua na mimi wakati hakuna kitu kama hicho kwenye nafsi yangu..kwani kula hela kunakufanya usivue chupi? kwani hela ina sumaku ya kukuvua nguo? acha kujitesa wewe pokea zawadi
amesema hana ndoa ukiwa na ndoa unachekecha nini? unajua maana ya kuchekecha?Mfano huyo binti angekua kwenye ndoa afu ndo anakula pesa ya huyo jamaa mwingine kama hivyo,hapo napo ingebidi achekeche?
Nieleweshe kwanza, huenda huo msamiati umenipiga chengaamesema hana ndoa ukiwa na ndoa unachekecha nini? unajua maana ya kuchekecha?
Duuh mkaushie bwana si unajua hawa wanawake wetu wa tz,Halafu watu wa namna yako ukijichanganya ukanipa nakufumua marinda kwa hasira.... Kisa cha kunisumbua kote huko na hela unakula!!!?
Kama hutaki bora, uwe ubamrudushia vijicent vyake kuliko kupokea alafu unamzungusha kugegedaHabari zenu wapendwa.
Nina mahusiano na Mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna Mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi, cha ajabu ambacho Nashindwa kuelewa kwa huyu Mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa Ila nmekua namwambia nina mahusiano na Siwez kuwa naye lakn hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lkn kakomaa tu na mm, ananitumia pesa kila baadae ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo. Me Nashindwa kumuelewa hyu Mwanaume ndo atakua ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]hapo kuna kitu kimoja ambacho wew mwenyewe hukijui,,,,umesema huwa unamjibu vibaya pia unamtukana kwa sisi wanaume kutukanwa au kujibiwa vibaya na mwanamke haituumizi kichwa ila wew unakosea kitu kimoja tuu kula hizo hela zake wakati humpendi na ndo maana jamaa nae anakomaa tu kama humtaki acha kula zake akituma mrudishie uone kama atakufuata tena na kama unapenda hela zake mpe hiyo papuchii,,,halafu kula hela za mwanaume bila kuwa na mahusiano yoyote ni dalili za umalaya