Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,866
hebu nitumie hela mara kwa mara uone utakavokuwa mtamueti hata akiwa mbali, Mungu anakuona kwa kwelii
hebu nitumie hela mara kwa mara uone utakavokuwa mtamueti hata akiwa mbali, Mungu anakuona kwa kwelii
mchaga wakat mwingne unaakili[emoji2] [emoji2]chukua ila mmh mi sikushauri kama unamahusiano mengine ambayo unategemea yawe na future
hivi inakuwaje mwanaume anataka apendwe wakati hela hatoi eti .hyo nguvu inatoka wapi?ha haha hapo ndiyo nguvu ya pesa .. si unaona hata mleta mada anataka kijanja go ahead haahahaha
mi namwambia ukweli tu kama anataka vya kunyonga ipo siku na yeye atanyongwa je yupo tayari?mchaga wakat mwingne unaakili[emoji2] [emoji2]
ha ha ha wanajitia jeuri dawa ni mbio tuhivi inakuwaje mwanaume anataka apendwe wakati hela hatoi eti .hyo nguvu inatoka wapi?
anatakiwa awe nao wote awachekechemi namwambia ukweli tu kama anataka vya kunyonga ipo siku na yeye atanyongwa je yupo tayari?
Huyu hakumpenda ila tamaa inamvutaIsije ikawa hizo pesa anazopokea atakuja kuzilipa, shida ndo atazilipaje hapo??
Gari na ukimwi juu yakeKama kweli avatar yako hapo juu ni wewe, subiria kupewa gari[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23]
duu..!, unaona pesa inaingia tu from no where lazima uchanganyikiwe..!Huyu hakumpenda ila tamaa inamvuta
huyo anayetoa pesa anaweza kuwa na wivu sana akambana akashindwa kuchekecha vizuranatakiwa awe nao wote awachekeche
Simple answer, et huwez kurudsha!Umeona Ehee, me siwez kurudisha kwan nimemtuma anipe hizo pesa
Naona mmekutana!hivi inakuwaje mwanaume anataka apendwe wakati hela hatoi eti .hyo nguvu inatoka wapi?
mi namwambia ukweli tu kama anataka vya kunyonga ipo siku na yeye atanyongwa je yupo tayari?
ha ha ha wanajitia jeuri dawa ni mbio tu
Hela Tamuhebu nitumie hela mara kwa mara uone utakavokuwa mtamu
kwani kula hela kunakufanya usivue chupi? kwani hela ina sumaku ya kukuvua nguo? acha kujitesa wewe pokea zawadiMmmmmmh,mie naogopa kula hela ya mwanamme,hawa viumbe wana mwanzo tuu mwisho wanaujua wenyewe...
Utambulisho tiar Yan tuna futurehuyo jamaa mwingine una mahusiano nae muda gani?
kuna dalili ya ndoa? mfano utambulisho,mahari etc
na je yeye ni mtoaji?
huyo jamaa mwingine una mahusiano nae muda gani?Hela Tamu
ok kama ni hivo basi hata kupokea hizo hela acha maana ukishikwa na reference namba za miamala utakosa ndoa .Utambulisho tiar Yan tuna future