Hahahahaha eti hakuna baunsa mbele ya njaa umeuaUmeshamlia sh ngap?!...unamjibu vibaya lkn akituma hela hurudishi?!...hamna baunsa mbele ya njaa
Hahahahaha eti hakuna baunsa mbele ya njaa umeuaUmeshamlia sh ngap?!...unamjibu vibaya lkn akituma hela hurudishi?!...hamna baunsa mbele ya njaa
Wanawake ndo mlivo akibip mtu akaacha unasema kumbe hana mpango wowoteNachojarbu kuuliza hapa ni kwnn hakati tamaa wakat nishamwambia hali halisi. Hata mkinambia ananipenda siwez kuwa nae so chill Bro hucjipanikishe bure.
chukua ila mmh mi sikushauri kama unamahusiano mengine ambayo unategemea yawe na futureAnatuma pesa tu, hajawai kutuma zawadi.
teh pesa tamu...ndio maana wanaume tunashindwa kuelewa saikolojia ya wanawake, you don't like him...wakati mwingine unamtupia maneno machafu and yet, pesa zake huzikatai..SMFH!!
mwanaume anaejali bna ni mtamu hata akiwa mbaliteh pesa tamu
hata kama humpendimwanaume anaejali bna ni mtamu hata akiwa mbali
utampenda tu .hata kama hapendekihata kama humpendi
Yaani wanawake bhana ni shidaaa! hapo tayari moyo umehamia kwa jamaa sema unataka kuhalalishiwa tu.Yani hapo ndo mtihani
Mpanulie mapajaHabari zenu wapendwa.
Nina mahusiano na Mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna Mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi, cha ajabu ambacho Nashindwa kuelewa kwa huyu Mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa Ila nmekua namwambia nina mahusiano na Siwez kuwa naye lakn hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lkn kakomaa tu na mm, ananitumia pesa kila baadae ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo. Me Nashindwa kumuelewa hyu Mwanaume ndo atakua ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
ha haha hapo ndiyo nguvu ya pesa .. si unaona hata mleta mada anataka kijanja go ahead haahahahautampenda tu .hata kama hapendeki
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kumbe una msimamo [emoji116]
√√Wanawake-5.7Billion
Wanaume-2.6Billion....
Hata kila mwanaume akioa wanawake wawil, watabaki wanawake Million 500 wako single....
[emoji117]Tunapowabembeleza ni kwa huruma tu.....
Sasa wewe endelea kudengua uje uolewa na Mende....
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Isije ikawa hizo pesa anazopokea atakuja kuzilipa, shida ndo atazilipaje hapo??Mbona kwenye kupokea pesa hukuomba ushauri? Ukila vya mtu lazima nawewe uliwe
eti hata akiwa mbali, Mungu anakuona kwa kweliimwanaume anaejali bna ni mtamu hata akiwa mbali