Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,424
- 8,046
Kama anavyokula ela za watu na anaendelea na hamsini zake sio!!Anataka kukukojolea tu huyo akishamaliza aendelee na hamsini zake
Kama anavyokula ela za watu na anaendelea na hamsini zake sio!!Anataka kukukojolea tu huyo akishamaliza aendelee na hamsini zake
Are u sure?Hatoweza kufaniksha anachotaka.
NdioAre u sure?
Pesa pia inaweza kuwa zawadihapo ni kama kamari labda anakupenda au lah...... we kama unamahusiano yako na yapo pouwa we tulia ana acha kupoekea zawadi japo mimi nisingeacha pesa
Hujajua nguvu ya mwanaume wewe.Ndio
Habari zenu wapendwa,
Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.
Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.
Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
Sisi wanaume sio watu wa mchezo mchezo huwa tunafuatilia papuchi hata kwa miaka mitano..!
Na hizo pesa anazokupa unasema ni ndogo ndogo, yeye sasa anaona ni vijipesa viduchu sana, akilinganisha na anachokitafuta kwako.
Zaidi zaidi unavyozidi kumzungusha ndio jinsi anavyopata mshawasha wa hiyo papuchi, yaani anakamia game kisawa sawa.
Ila ukila na wewe ukubali kuliwa, kama vipi mtunuku tu hiyo papuchi huyo mshikaji.
Ila usi-guarantee sana kuwa anakupenda.
As long as hujasema una tatizo na mpenzi wako endelea tu kuwa nae, ila hayo mambo ya pembeni usiyachukulie serious sana usije kutuletea uzi wa kilio humu.
mambo?Ndio
Upo sahihi sana witMmh acha uwongo mnakuwa mnataka maku tu hakuna kingine...
Kwani wewe ni mtoaji?????. Isije ikawa ni upande mmoja ndio unaumia. Hiv kilakitu mnadai pesa tu. Kunavitu ni zaidi ya pesa/ utoaji.huyo jamaa mwingine una mahusiano nae muda gani?
kuna dalili ya ndoa? mfano utambulisho,mahari etc
na je yeye ni mtoaji?
Oky Nashukuru, nitaacha kupokea pesa zakekosa ni kupokea pesa za jamaa, inamfanya ahisi bado kuna nafasi kama humpendi achana nae kabisa usimpotezee muda