miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,155
- Thread starter
- #21
Nachojarbu kuuliza hapa ni kwnn hakati tamaa wakat nishamwambia hali halisi. Hata mkinambia ananipenda siwez kuwa nae so chill Bro hucjipanikishe bure.kwahiyo tukikwambia anakupenda unamuacha yule ulienae na unamfata huyu ama???
wanawake ni hatari sana aisee,,, unaeza kuta ushampa tunda hapa unatafuta uthibitisho wa kuwa anakupenda au laa ili umbwage mwingine!!!!
# k ni k tu hata kusaliti nako ki k